we aukuwa na registration number wakati unasoma Chuo? unweka reg. number yako wakati unasoma hiyo certificate/diploma/degree/masters... sasa kama kujaza taarifa ndogondogo hizo unakwama kazi utaiweza kweli?
Kuna University of Iringa Moja tu Nchi Hii, wao TAMISEMI wamekipa chuo Abbreviation Hiyo ya UNIV but ndiyo University of Iringa... Mind You UoI ni Abbreviation siyo Code... Apply, kabla ya deadline, hicho ndo Chuo Kikuu cha Iringa
MAWASILIANO YA UOI - CHUO KIKUU CHA IRINGA
Mobile No: Mobile No:+255743802615/ +255677048774/ +255753618173/ +255743082615
Web: www.uoi.ac.tz
E-Mail: admissions@uoi.ac.tz
Anaweza Kusoma Course ya BAME (Bachelor or Applied Marketing and Entrepreneurship) Ambayo Inafundishwa Chuo Kikuu cha Iringa (UoI-University of Iringa) Zamani Tumaini-Iringa.
Hiyo Course inatolewa UoI Pekee kwa Hapa Tanzania na Hata Afrika Mashariki...
PM me ili nikutumie namba za simu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.