Habari za humu wadau?
Msaada wenu tafadhali.
Ninahitaji kupiga rafu sakafu, fundi kanambia labour charge ni sh 800,000/ ambapo ataongeza kifusi chini kidogo kunyanyua, maana kilikuwa kimeshawekwa kitambo na kazi inayobaki ya rafu, gharama yake ndo kanambia laki8, mimi nmeona ni parefu sana...
Ukitaka kutunzwa hivyo,kwanini huoi mwanamke asiye na kazi? Ili Kazi yake iwe kukutunza na kukutendea hayo utakayo?
Tatizo mtu mwenye dhambi yake anapotaka kuihalalisha hutafuta sababu zooooooote duniani. maana kama ni kweli mkeo hakupikii chai,hakuwekei maji ya kuoga,kwanini humtaliki badala...
Acheni uongo jamani. Mnajua kabisa hiyo real mnayoitaka ni kidogo sana. Na mbona kama kweli mnataka real hamwendi huko vijijini/umasaini mkachague wale real ambao hata kuvaa nguo kwao ni ndoto?
Mbona wewe una matatizo? tena makubwa! Kumwambia umpendaye unampenda unaona kero,kujibu message na kumpigia simu huwezi? Basi si kweli, humpendi! Maana pendo halioni kero wala usumbufu. Maana imendikwa "Pendo halioni mabaya,pendo huvumilia,pendo halichoki....." Kama wewe unaona hustahili...
Uliyosema ni kweli kabisa! Na lazima tujue " 'falling down does not mean burial.'".
Sijui kama yupo ambaye hajaumizwa na mapenzi na kama yupo ni heri kwake! Lakini ni kweli atakuwa hajakomaa. La muhimu ni mtu mwenyewe kuikataa hali hiyo na kukubali kuanza upya! NI ngumu sana na ni vigumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.