Search results

  1. N

    "Mimi ni gamba, tena nene"

    The man is the real Great Thinker!
  2. N

    PICHA NA MATUKIO MAPOKEZI- IGUNGA Dk. Kafumu

    Ila jamaa ni mabingwa wa kusomba watu kwa malori toka vijijini ili kujaza umma jana nilishuhudia harakati hizo toka asb kiufupi CCM haina mvuto kwa wananchi.
  3. N

    Nape kuunguruma Igunga leo

    Ndugu wanajukwaa! Leo kulikuwa na mkutano wa magamba hapa Igunga na matarajio yangu ni kusikia hoja zenye mashiko kuhusu hali ya wananchi wa hapa ila cha kushangaza kila aliyepanda jukwaani ni kashfa na kejeli dhidi ya CHADEMA.Sasa kwa upande wangu sijafurahishwa na maudhui ya mkusanyiko huu...
  4. N

    Show ya diamond akichambua na kulinganisha viuno vya akina dada- uk

    Ila huyo mdada hatamjambia huyu mtani wangu wa kasulu kigoma?maana alivyobinua makalio utadhani kamebanwa na haja kubwa?
  5. N

    Waraka Mwl Shukia kwa Mwigulu Nchemba

    Nadhani km ningekuwa mm ndo Mwigulu Nchemba ningeachia ubunge kwani ikifikia watu wanakuchukia kwa kiwango hicho basi kuna tatizo.Juzi juzi nilipitia hapa jukwaani kukawa na story nyingi za watu kutomkubali mwana CCM huyu,mpaka wamefika mbali kumuita mzinzi au kumuombea kifo?take it 4m mwl...
  6. N

    Hukumu Kesi ya Ponda, ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nje

    Si nilisikia watajengewa upya na Serikali?au mchakato ukoje?
  7. N

    Hukumu rufaa ya CCM ya ubunge wa Igunga kusomwa kesho

    Taarifa za haraka haraka ni kwamba CCM wamebeba jimbo Dr. Dalali Kafumu kachukua ubunge IGUNGA.
  8. N

    Majina ya vituo vya daladala sehemu mbalimbali

    Mbagala rangi 3, mbagala Zakhem, mbagala kizuiani, kipati, mbagala sabasaba{kwa mpili}, mbagala misheni{ktm},msikitini, mtoni mtongani, mtoni kwa azizi alli,saba saba,uhasibu,taifa,chuo,kona ya taifa,njia panda keko,veta,karume,boma,msimbazi center,kona ya kigogo,mikumi,magomeni hosp,moroco...
  9. N

    Majina ya vituo vya daladala sehemu mbalimbali

    Rangi3, Zakhem, kizuiani, kipati, sabasaba{kwa mpili}, misheni{ktm},msikitini,mtoni mtongani, mtoni kwa azizialli, saba saba, uhasibu, taifa,chuo{duce}, kona ya taifa, njia panda, keko, veta, karume, boma shule, msimbazi center, kona ya kigogo, mikumi, magomeni hosp, moroco...
  10. N

    Majina ya vituo vya daladala sehemu mbalimbali

    Rangi3, Zakhem, kizuiani, kipati, sabasaba{kwa mpili}, misheni{ktm},msikitini,mtoni mtongani,mtoni kwa azizi alli,saba saba,uhasibu,taifa,chuo,kona ya taifa,njia panda keko,veta,karume,boma,msimbazi center,kona ya kigogo,mikumi,magomeni hosp,moroco hotel,mkwajuni,studio,manyanya,kinondoni...
  11. N

    Sakata la Bomu Arusha: FBI watua nchini, EU wadai Udini ni chanzo, ukomeshwe

    Kumbe wawekezaji nao siku hizi huja na vigezo vya dini?
  12. N

    miaka 5 ya ndoa uume hausimami,atumia ulimi tu kumridhisha mkewe

    Vibrator inatoa manii?so ni sawa na kazi bure
  13. N

    Hebu cheki hapa!

    Ila mke alimsababisha mumewe kujipiga vidole hv kweli jamaa aliweza kula chakula cha usiku tena kwa kiwango kile kile?
  14. N

    kuku at ze climax

    Aachie mzigo bwana habari ya umalaya inatokea wapi?kwani lile dude linakula punje za mahindi au mtama?
  15. N

    Unamjua Nyerere?

    Huyo dogo ni kiboko hv hajui usiku mrefu?
  16. N

    nikamlaza chini kisha nikam...........!!!!!!!!

    Ila jamaa muongo kweli hv swala huyo amkamate alikuwa ana dalili za typhoid au kuhara damu?
  17. N

    Mbwa mvivu

    Si km vile ku like page?nadhani huyo koko yuko sawa siku hizi hata wao wamehamia digital.
  18. N

    Cheka taratibu hii ni siri ya Taifa

    Heeee! Ila km kuna mtu ana chogo Thierry Henry kasingiziwa basi huyo nikiboko ya bongo, teh!! teh!! teh!!
Back
Top Bottom