Ila jamaa ni mabingwa wa kusomba watu kwa malori toka vijijini ili kujaza umma jana nilishuhudia harakati hizo toka asb kiufupi CCM haina mvuto kwa wananchi.
Ndugu wanajukwaa! Leo kulikuwa na mkutano wa magamba hapa Igunga na matarajio yangu ni kusikia hoja zenye mashiko kuhusu hali ya wananchi wa hapa ila cha kushangaza kila aliyepanda jukwaani ni kashfa na kejeli dhidi ya CHADEMA.Sasa kwa upande wangu sijafurahishwa na maudhui ya mkusanyiko huu...
Nadhani km ningekuwa mm ndo Mwigulu Nchemba ningeachia ubunge kwani ikifikia watu wanakuchukia kwa kiwango hicho basi kuna tatizo.Juzi juzi nilipitia hapa jukwaani kukawa na story nyingi za watu kutomkubali mwana CCM huyu,mpaka wamefika mbali kumuita mzinzi au kumuombea kifo?take it 4m mwl...
Rangi3, Zakhem, kizuiani, kipati, sabasaba{kwa mpili}, misheni{ktm},msikitini,mtoni mtongani, mtoni kwa azizialli, saba saba, uhasibu, taifa,chuo{duce}, kona ya taifa, njia panda, keko, veta, karume, boma shule, msimbazi center, kona ya kigogo, mikumi, magomeni hosp, moroco...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.