Search results

  1. N

    Uchaguzi Mkuu October 2015 kutumia Katiba ya 1977 bila mabadiliko, Watanzania bado tumelala!!

    MAKUBALIANO YAO VIONGOZI WA VYAMA CHINI YA TCID KWANI BADO YAPO HAI?...UKAWA JE WAko TAYARI KUPOKEA MATOKEO KTK MAZINGIRA YALEYALE WANAYOYALALMIKIA KILA UCHWAO?....
  2. N

    Vijana na mawazo potofu juu ya CHADEMA

    Binafsi sipendi kuongozwa kwa mazoea....CCM must go Nmewachoka hamna mawazo mapya....
  3. N

    Serikali yakwama Mahakama Kuu

    Asante kwa taarifa mkuu..
  4. N

    Kwa namna gani nitamtambua binti aliyewahi kutoa mimba?

    ni vyema kumtambua..ili tusiuziane vitu used..Unadhan ulimwengu wa sasa nan anataka second hand af baadae asumbuke......
  5. N

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    UPDATE.....Mkumbo amekiri kushiri kuandaa waraka kwa siri na alipogundulika akakubali kosa na kuomba mujiuzulu ila chama kikamkatalia. tamko laka rasmi linafuata punde
  6. N

    Nimeamini sasa, dada Saro kapigwa risasi, mama mkubwa kauwawa!

    Poleni wafiwa na Mungu amjaalie kupona haraka majeruhi,..
  7. N

    VIDEO: Prof. Lipumba akiri kumsaidia Rais Kikwete katika Uchaguzi 2010

    Okey....Sasa ndugu ili kuiimarisha hii stori,.inabidi ui upload hyo video YOUTUBE na utuwekee LINK hapa JF ili wote tupate hizo nyuuuzii.........
  8. N

    Watu wauawa, Ofisi zachomwa Mtwara | Bunge la jioni lasitishwa - Hali ni tete...

    Ikumbukwe hakuna fikra zilizowahi kunyamazishwa kwa risasi na hakuna gereza au jela iliyowahi kufunga akili za mwanadamu. Majaribio yote duniani ya kuzima uwezo wa watu kufikiria na kujitambua yalishindikana. Yalishindwa Marekani, yameshindwa Uarabuni, Yameshindwa Japan, Yameshindwa China...
  9. N

    Pata audio ya mdahalo wa Dr Slaa uliofanyika Movenpick Hotel October 2010.

    Brother...Nakushauri unge upload hiyo kitu kwenye mtandao kama soundcloud au hulkshare halafu ungeileta link hapa...ili kila mtu apate fursa ya kuipata,.iwe kwa sasa au kwa vizazi vijavyo..Barikiwa sana!.
  10. N

    Maxence Melo (Mkurugenzi Mkuu wa JamiiForums) apata ajali mbaya Maeneo ya Nzega

    kuna taarifa kuwa ndugu yake ndiyo amevunjika mkono lakini yeye mwenyewe ni mzima - angalau hakuna madhara makubwa yanayoonekana mwilini. Tunamshukuru Mungu...source Mwanakijiji on Facebook
  11. N

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    nimesikitishwa na yaliyotokea Arusha' kwanini Polis hawakuwa na taarifa za kiintelijensia kuhusiana na tukio lile?! Mbona kwenye mikutano ya Chadema wanatuambiaga mikutano haiwezi kufanyika kwa sababu kuna taarifa za vurugu?!
  12. N

    CHADEMA na harakati za nje kwa kutumia pesa za Watanzania masikini

    Kwani Magufuri alienda kumpigia debe nana kule kenya?!
  13. N

    Kanda ya Magharibi makao makuu CHADEMA mmetukwaza

    nipo Tabora' pamoja na ukweli kwamba ccm ni wengi lakini hakunaga ujinga wa kuzomea hapa! Ninachokijua Chadema kwa sasa inapata wanachama na wafuasi wengi tu kwa sasa!
  14. N

    Uchaguzi wa Kenya hovyo: Hatuna cha kujifunza kwao

    kama inawezekana tufunge mpaka na Kenye wasije huku!
  15. N

    Marando: Nape, Wasira, Sitta, Mwakyembe wana kadi zaidi ya 1

    hoja ya kadi inakuzwa na Mambumbumbu' Tundu Lisu umemaliza kila kitu hapa!
  16. N

    Hatua zinaendelea kuchukuliwa kuhusu tuhuma na shutuma zilizotolewa

    majibu mazuri' tunaaini hakuna mtu atakayeonewa,kila mmoja atapiwa kulingana na kipimo chake!
  17. N

    CHADEMA yajipenyeza Tabora, Yashinda kwa kishindo uchaguzi

    sisi tunajua tunachofanya' tunajua wapi tumejikwaa na nini tufanye! subiria 2015!
  18. N

    CHADEMA yajipenyeza Tabora, Yashinda kwa kishindo uchaguzi

    watu wanzidi kuielewa Chadema Tabora! hakika kwa pamoja tutaweza kuwaondoa wakoloni weusi ccm!
Back
Top Bottom