Aliyekwambia ukilia ndio unatoa stress nani?
Kuondoa stress ni ww mwenyew kukubaliana jambo linalo kusumbua. Hata kama ni tatzo zito kubali kuwa hyo ni sehemu ya maisha yako ambayo Mungu alipanga kuwa utayapitia sasa ni ww kulitatua.
Kwani wanawake wangapi wakipgwa chini wanalia na bado...
Alinipigia simu na kuniambia mwanangu nakuhitaji nyumbani kuna jambo linanitatiza.
Kwakuwa nilikuwa naishi mbali na nyumbani nilichelewa kwenda kwa muda wa kama wiki. Wakati najiandaa kuwa kesho naanza safari ya kwenda saa nane mchana napigiwa simu ameshafariki.
Sijui hata ni kitu gani...
Hawana lolote hao. Wanachokitaka ni kukuchokonoa ili wapate kujua undani wa mishe zako. Na yawezekana huyohuyo mama ndio anataka kukujua zaidi.
Hapo cha kufanya ww kuwa busy na mambo yako tu
Hata hili lililowazi unashindwa kufanya maamuzi je siku ukikutana na gumu zaidi itakuwaje?
Hebu acha utoto! Unachezewa hisia. Huyo mwanamke hajitambui bado. Huyo atakuja kutulia akipigwa tukio
Acha kuhangaika na mambo yasiyokuhusu.
Kama kujiua si atajiua yeye? Wewe inakuhusu nini
Acha apambane na mzigo wake maana hata wewe siku ukioa utapambana na mzigo wako.
Unaweza ukawa unakula kisela ila ujue muda wowote mume wake akigundua wewe ndo utakuwa chakula cha mumewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.