Big Up Hofstede na Kiranga. kikubwa hapa ni kutoa lugha ya kashfa iwe kwa mtoto hata mkubwa.Binafsi siipendi regardless hiyo lugha inatolewa kwa Ndg.Mengi or ndg Machache . Ila hilo jina la Mengi hatujasikia likitajwa mwanzo hadi mwisho wa kipindi.mwenzetu pakajimmy mmh! ni feelings zako na...
hodi wenyeji, hodi tena!
Naomba kukaribia kwenye jamvi na kamchango kadogo Huyu mshkaji masanja hakumtaja jina mtu. Mchangiaji kwa fikra zake amemrenga R. Mengi. Ni sawa na maneno ya kwenye khanga mwingine anaweza soma akasema amenivalia mimi je mtengenezaji alijua wewe na huyo mna bifu? ACHA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.