Search results

  1. Atukilia

    Kwa mara ya kwanza, Serikali yachukua gawio la Tsh. Bilioni 19.5 kutoka Benki ya CRDB

    nadhani iikuwa debt financing baada ya muda mwekezaji anachukua hela yake. sina hakika kama mkopo ulikuwa hauna riba au uwekezaji wa serikali ulikuwa kuokoa benki na matatizo ya vyama vya ushirika. Kizazi cha sasa hawajui kuwa hii benki ilikuwa kwa ajili ya ushirika, vyama vingi vimekufa
  2. Atukilia

    DAR: Hoteli na Maduka yabomolewa Sinza, Shekilango kwa kushtukiza

    kwanini? huo ni uamuzi wa mahakama na ni kesi ya zaidi ya miaka 4
  3. Atukilia

    Wanahisa wa DSE Kutopata gawio

    DSE ni kampuni ya umma (PLC) nao waliuza hisa zao kuonyesha mfano.
  4. Atukilia

    Exclusive: Askofu Gwajima atoa cheti chenye matokeo ya kidato cha nne ya Daudi A. Bashite (Makonda)

    uchu au uchi? ni kosa la jinai kutembea uchi. Soma penal code au
  5. Atukilia

    Kila naepishana nae kuanzia saa 3:30 usiku na kuendelea Kalewa

    ina maana hilo ni eneo salama. vinginevyo ungekutana na vibaka. ilimradi hawasumbui mtu au kuhatarisha usalama wa vyombo vya moto kwao na watumiaji wengine sioni tatizo
  6. Atukilia

    Msaada Biashara ya Library

    sidhani kama inalipa. watu wengi wanaangalia movie kwenye vingamuzi au youtube. tatizo kwetu huwa zinafika zimechelewa sana. Pia udhaifu wa sheria ya hati miliki ukikodisha moja utashangaa nakala zake zitakavyojaa mjini.
  7. Atukilia

    Pendekezo: Faini makosa ya barabarani ziongezwe hadi kufikia 50,000/=

    faini lengo lake kuu ni kurekebisha tabia sio chanzo cha mapato. Ukuaji wa uchumi utakaopelekea kuongezeka wigo wa kodi ni chanzo endelevu cha mapato.
  8. Atukilia

    Nataka kununua shamba Rufiji

    Ahsante sana mkuu nimepata elimu.
  9. Atukilia

    Mnaokosoa ujenzi wa fly-over za daraja la Kigamboni mnayajua haya?

    upo sahihi ila watu watazoea tu, huna haja ya kuweka taa za kuongeza magari, fly over zitakuwa nyingi tu baadae. Hiyo ya ku keep left au nini hata barabara ya Morogoro kwenye rapid kuna sehemu nyingi tu ukitaka kupinda kulia unaingia mchepuko wa kushoto kwanza na kutoka main line. sijui nani...
  10. Atukilia

    PICHA: Kurasini Road Intersection (Flyover) kuelekea Mwl. Nyerere Bridge, Kigamboni

    vile vile unaweza kwenda extra mile njia ya kwenda ubungo/uwanja wa ndege, chini unaweza kuchora alama za ndege kwenye line mbili zinazoelekea ubungo.
  11. Atukilia

    PICHA: Kurasini Road Intersection (Flyover) kuelekea Mwl. Nyerere Bridge, Kigamboni

    Vibao vya kuonyesha njia ni vidogo, nchi nyingine ni size ya mabango makubwa ya matangazo unayoyaona na pia huonyesha umbali wa kufikia eneo husika. mf hapo Dar port ilipaswa iseme Port -3KM
  12. Atukilia

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki atenguliwa

    Hilo tatizo halikuanza leo, unasema sababu za kitoto, soma gazeti la Raia Mwema la tarehe 3 February 2015, walishaanza kuongelea hii issue ya kukataa mshahara kwa vile ulikuwa ni mdogo na kuwa bodi ilikuwa inasubiriwa kuidhinisha mshahara mpya
  13. Atukilia

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki atenguliwa

    ukiangalia gazeti la Raia Mwema la februari 3, 2015 alikuwa anachukua posho za safari. Alitaka bodi iidhinishe mshahara mpya na malimbikizo yake ya nyuma.
  14. Atukilia

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki atenguliwa

    1. Serikali inalipa interest kuhifadhi mshahara huo ili apate net yake. 2. Wewe nyumbani una mtoto chini ya miaka 18 anasoma ila hali chakula nyumbani, wewe unaona sawa tu kwa kuwa anaokoa matumizi? ikitokea fraud na yeye anahusika basi na mwajiri nae atalazimika kujibu tuhuma kuwa alijua kuna...
  15. Atukilia

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki atenguliwa

    posho na mshahara ni vitu viwili tofauti. Posho unaweza usidai na hakuna tatizo, mfano ukienda safari usipodai marupurupu ya safari hakuna atakaye kuuliza ili mradi ulienda na kazi umefanya. mshahara unapaswa kuingia moja kwa moja kwenye acc
  16. Atukilia

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki atenguliwa

    kisheria anapaswa alipwe mshahara wake wote
  17. Atukilia

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji (TIC), Bi. Juliet Kairuki atenguliwa

    sidhani kama upo benki, upo hazina inamaana hakupeleka acc yake.
Back
Top Bottom