Kwa kweli hii ilikuwa ni fedheha kubwa kwa nchi yetu, inabidi akumbushwe kuwa inawezekana hata makamu wake Dr. plan pia nae hamwelewi lakini kwa hekima zake sidhani kama anaweza kutamka hayo maneno si ughaibuni tu bali hata ndani ya nchi. Kwa kw2eli mama wa kupapaswa na kupuliza mfuuuuuuu kachemka.
Kwa kweli nyie ndo wahuni tena lengo lenu siyo zuri kwa watanzania wengi, ila nyinyi ni mafisadi au makuadi wa mafisadi mnaojificha humo JF kwa malengo ya hao mabwana zenu ambao wanamiliki hayo madaladala. Acheni watu wafanye kazi bwana, nyie ndo mnaomba viongozi wetu wachapa kazi walishwe hata...
Hivi wewe unamfahamu vizuri huyo Mwakyembe? Huyo jamaa hana urafiki hata na ndugu yake yeyote ambaye hatendi haki au anafanya ufisadi. Nlijaribu kufanya utafiti kidogo nikagundua ni mtu wa aina yake, kwake hana hata biashara ya kufuga kuku zaidi ya kuwekeza katika siasa kwa kuwatumikia...
Sasa hivi wanaume wenye uchungu na nchi hiii katika serikali ya J.K. tumewapata wanne, wa kwanza Mwakyembe, wa pili Kagasheki, wa tatu ni Sita na wa nne ni Magufuri japo aliteteleke katika suala la kuuza nyumba za serikali. Lakini angarau hao kinaonekana wanachokifanya.
Mwakyembe watanzania...
Kuna taarifa nimezipata kuwa kuna diwani mmoja amehukumiwa kwenda jela miezi mitatu kwa kosa la jinai lakini baadhi ya viongozi wa CCM wamemsaidia yeye kutumikia kifungo cha nje pamoja na wenzake aliofungwa nao, nasikia anaendelea kushikiria nafasi yake ya udiwani na kuhudhuria vikao kama...
Hawa jamaa hasa huyo bwana mandevu, amefukuza watu wengi sana kwenye hicho chama. Kuna vijana wazuri nawafahamu waliondoka kimyakimya kwani walikuwa wakimwogopa sana huyo bwana mandevu, nasikia akipewa tu hata umbea kwamba fulani anakupinga habaki salama katika chama. Sasa kakwaa kisiki cha...
Umesema kweli kaka, hili nalo litaisha kimya kimya na watu wote tutaendelea na maisha yetu kama kawaida kama vile wanaokwenda katika ukumbi wa sinema si ikiiisha (the END) kabla hata hatujaambiwa tutoke tunaanza kusukumana kutoka hata kama ulichoona hakifanani na pesa yako. Sijui watanzania...
We Solokondo, mbona unaongea kama umetumwa na mtu, siamini kama kuna mtu mwenye akili timamu na ubinadamu juu, akaongea maneno kama hayo.
Yule bwana anaumwa hasa, na si ugonjwa wa kawaida, mwenzio akinyolewa wewe tia maji kichwa chako.
Kumbuka iko siku yanaweza kukufika wewe, lakini...
Wanaume waliamua hata angelia vipi wasingemsikiliza kwa sababu alishakosea kusaini kwa niaba ya raisi kuwalipa posho wabunge wenzake wakati rais alimwambia atumie busara na hekima, busara na hekima zake ndo zilimfikisha hapo, mama Sita katoa machozi lakini hawakumwangalia usoni, BRAVO...
Nimekupata mkuu, ila wakati huo mzee Shelukindo akiwa mwenyekiti wa kamati ya Nishati na madini alikuwa pia na kundi hilo la wapambanaji, nguzo zilipoanguka naye kageuza kibao hasa baada ya kusaidiwa kupata ubunge na EL, nakumbuka hadithi ya paka kukaa jikoni na akinamama kutoka porini akiishi...
[Inadaiwa kuwa Beatrice Shellukindo aka Jairo mbunge wa kilindi anaongoza uasi ndani ya wabunge wenzake wa CCM ili kuikomoa serikali kwa kuwa amenyimwa uwaziri.Shellukindo alikuwa na matarajio makubwa sana kupata uwaziri,alipoona ameukosa ameamua kula sahani moja na wale waliopo madarakani...
Umesema kweli, hawa wote maspika na wenyeviti wao hakuna kitu, kwani waliwekwa ili kuisadia serikali, na wanaogopa kunyolewa kama alivyofanyiwa mzee wa viwango SS. Ndani ya roho yake Ndungai anaonekana ni wa ukweli ila kwa sababu mkataba alioingia na serikali yake ya kisanii anjikuta anaamua...
Huyu mwanamke anatia kichefuchefu, kazi yake ya kukata viuno mbele ya waheshimiwa sasa imefikia hatua mbaya! unajua kupata nafasi ya kisiasa kama ubunge, kwake ni kama anaota, yaani haamini kilichotokea kwamba hata yeye! sasa atasema maneno hata ikibidi kumtukana babake anaeza.
Hebu muulizeni...
Kwa mujibu wa sheria iliyounda vyama vyingi, Raisi wa Zanzibar anapokuja bara ana hadhi ya waziri wa serikali ya Muungano, sasa sijui huyu makamu wa raisi ana nafasi gani, manake haya mambo yanafanyika kwa mtindo wa zima moto.
Hajakosea ni kweli wabunge wa chama cha magamba ni ze comedy kwani wanaweza kujadili jambo kwa uchungu na sauti za juu lakini mwisho wa yote watamalizia na kusema "Mhe. spika naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja"
Hapo umenena Mwanakijiji, hao ndo tatizo kubwa katika mkoa wa Mbeya na nchi hii kwa ujumla. Hao ndo hupanga safu ya uongozi katika mkoa wa Mbeya, na hasa hasa Apson, ndiye anawatesa akina Mwandosya na Mwakyembe!
[
.
Sawa bwana Zito, ila huyo bwana Hosea akae pembeni kwanza hatuna imani naye kwani kama alifanya aliyoyafanya kwa Lowasa kumsafisha na Richmond, atashindwa vipi kuwabambikia wabunge tuhuma?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.