lo suala la vitu kupanda bei kila siku sijui mnasaaidiaje kama mafuta ya kula mepesi na mazito unga wa ngano
Makampuni yote yanapandisha bro kwa pamoja Kuna kitu gani
Serikali kimya.
Tunaomba ufumbuzi
Hii kampuni ya AIFOLA PRIME TRADERS Ltd imeanza kazi ya kukusanya takataka za majumbaji mwaka huu mwezi wa pili na kwa sasa wiki ya pili haijachikua taka mpaka zinatoka funza.
Hivi wahusika wa serikali mpo wapi au mpaka mtumbuliwe? Afisa afya haonekani hapiti kukagua au mikataba ina harufu ya...
Hii kampuni ya AIFOLA PRIME TRADERS ltd imeanza kazi ya kukusanya takataka za majumbaji mwaka huu mwezi wa pili na kwa sasa wiki ya pili haujachikua taka mpaka zinatoka funza
Hivi wahusika wa serikali mpo wapi Au mpaka mtumbulie afisa afya haonekani hapiti kukagua Au mikataba ina harufu ya...
RAIS MAGUFULI TANESCO HAWATAKI TUKAONA HABARI YA MCHANGA.
Wamekata umeme ILALA na wakati wanajua Leo siku muhimu ya taarifa ya MCHANGA wa madini
Wanamaanisha nini?
TCRA fanyeni kazi yenu hawa jamaa wanazingua saaana hela yetu tunawapa wakati huduma ya mtandao wao ni mbaya kuliko maelezo.
Tunaomba muwafuatilie tena siku hizi hawafai kabisa.
nasikia kuna figisu kwenye symbion na IPTL
Symbion wanaiuzia umeme Tanesco $ senti 6 wakati IPT $ senti 32 au ziada sasa huu ni wizii mkubwaaa
MH, Raisi Magufuli vipi hili Jipu
MKuu huyu Engeez ni jipu katumwa
Mimi nawalaumu pia TANESCO kuna kupindi waliomba kupandisha Umeme na sevrcice charge ni mzigo pia VAT ni mzigo mkubwa
Sasa REA (3%) + EWURA (1%) = 4% hii ingekuwa ni ya tanesco peke sawa lakini tunawapa watu ambao hawana kazi na faida kwetu, sababu wabunge...
wewe inaonekana umetumwa kuna mtu humu anatakujua EWURA na REA inafanya kazi gani? hakuna alikuomba jipu weweeeee
Kwani hao wabunge si majipu ukiwa na weweeeeeeee jipu kubwa
watu humu wanaongelea maisha maisha yalivyokuwa magumu kwa ajili ya Majupu na mafisadi wenzako
Mkuu asante kwa kuongezea SUAMATRA ndio lijipuuuuuuuuuuuuuu na ni kweli REA, EWURA and SUMATRA ni chaka la wapiga pesa mafisadi woote IPTL, Richmond na wengine zaidi
Rais Magufuli tunaomba Jipu hili hatari REA, EWURA and SUMATRA linatuumiza saana ukishuka umeme na mafuta tunaomba utoe agizo la...
Tunataka Kuona hawa waandishi wa habari na wanaotakia mema wananchi wao kama tutaisikia habari hii
TANESCO, REA na EWURA hawa ndio wana fanya maisha yanakuwa magumu
Kwa anaejua Uogngozi wa Juu EA na EWURA atutajie majina yao vyeo na kama mishahara inajulikana
ili watumbuliwe hawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.