Search results

  1. V

    Lipumba akiri kumsaidia Kikwete Uchaguzi 2010

    mbona lipumba anajilaumu kwa kumpa 'kikwete' na anadai hajafanya chochote kwa waislamu,halafu wewe unasema 'waislamu wamekumbukwa' katika awamu hii ya nne? Hueleweki
  2. V

    CCM kunyakua vijiji vyote nane Iramba Mashariki

    Ninapata mashaka na hiyo div one uliyopata! Kama bado unajitapa kwa 'swagger'..kaz kweli kweli!@shonza
  3. V

    CCM kunyakua vijiji vyote nane Iramba Mashariki

    swagger ni neno lililotoholewa kutoka kwenye kifupisho 'SWAG'..Kotoka huko amerika kama identity ya kundi la mashoga. Waliandika kwenye nguo,kofia n.k. Kirefu chake ni 'secretely we are gays',swag! Ni hatari kubwa kwa kijana kujisifia aki2mia hlo neno! Tena hasa hasa akiwa kiongozi! Kama si...
  4. V

    Daktari ajinyonga na kufa ndani ya gesti huko morogoro

    Itakua alikua anauchungu na tembo wetu wanavong'olewa meno kila kukicha
  5. V

    Updates: Yanayojiri Mtwara - hali bado tete (Mei 23/24, 2013)

    ukisikia punguani basi ndio wewe! Watu wameichoka ccm, we unasema eti chadema wametumwa! Ha ha ha na mtahangaika sana mwaka huu! Gesi kwanza vyama baadae
  6. V

    Updates: Yanayojiri Mtwara - hali bado tete (Mei 23/24, 2013)

    gesi kwanza,vyama baadae..kabaraka baba ako.
  7. V

    Ukimya wa Mbowe na Slaa juu ya sakata la Mtwara nini tasfiri yake??

    'MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI' NDIO TAMKO LA SLAA NA MBOWE. We unataka nini kingine?
  8. V

    Watu wauawa, Ofisi zachomwa Mtwara | Bunge la jioni lasitishwa - Hali ni tete...

    Wapi kilango malecela! Umeongea hadi mshipa unakutoka,tena maneno ya kizandiki! Ulidhani mtwara ni same? Ntwara ndo hiyo..uchikae wala uchichimame
  9. V

    Hali ni tete Mtwara Leo, Sakata ya Gesi

    Mbona mi siwaoni?
  10. V

    Mnyika aomba muongozo kujadili matukio ya utekaji

    sumu inamatumizi mbalimbali, ikiwemo kuua panya majumbani.
  11. V

    Kikwete ammwagia sifa Lowassa

    mbna hujalishtaki gazeti?
  12. V

    CCM ina wabunge wanne tu!

    Baada ya mwakyembe kuukwaa uwaziri,.kina sendeka na anne kilango nao wamekua mawaziri pia ,(by induction)
  13. V

    Bunge laahirishwa ghafla kutokanana msemaji wa upinzani kudai serikali inaua waandishi wa habari

    Halafu pia inawezekana spika makinda alikua anasumbuliwa na njaa,anawahi chai
  14. V

    Juma Nkamia: JamiiForums inachafua na kuwagawa Watanzania

    Alikataa hakuna cd za uchochez wa kidini! Ila maajabu anasema jf inawagawa watz! Thinking capacity yake inaaproch sifuri! Yaani hana akili. Mbulula
  15. V

    Msigwa hana busara ya kutatua matatizo ya wamachinga Iringa. Vurugu hazijengi bali zinabomoa!

    ndugu yangu ,iringa umefika mara ya mwisho lini? Acha kupotosha watu..mji wa iringa ni mdogo, biashara inafanyika pale katikati ya mji tu. Na ndipo mizunguko ya watu huishia. Unapopeleka machinga mlandege, wakamuuzie nani? Ukumbuke wanaolalamika si msigwa! Ni wamachinga! Malalamiko yamemfikia...
  16. V

    Msigwa hana busara ya kutatua matatizo ya wamachinga Iringa. Vurugu hazijengi bali zinabomoa!

    , hivi ukiwapeleka machinga kule mlandege,nani anapandisha kule kununua? Upuuzi tu..mmewanyima elimu bora, msiwanyanyase ,wanajitafutia kipato halali.
  17. V

    IRINGA: Vurugu, Machinga na Polisi wapambana

    leo ndo pamekua barabarani?
  18. V

    Live updates: Mkutano wa Dr Slaa uwanja wa Kwaraa Babati

    hivi unajua 'kuhasi' maana yake nini au unajiandikia tu?
  19. V

    Maria hewa mbunge pekee anayeiwakilisha Mwanza ipasavyo

    Ikumbukwe wakati kiwia ,na machemli wanakatwa mapanga huyo mama alikua eneo la tukio huku wakata mapanga wakiwa ni watu 'wachama' chake (compare na uwepo wa kamuhanda wakati wa mauaji ya mwangosi)
Back
Top Bottom