Mkuu kwa hali ya Tanzania yetu bila mtu kuhakikishiwa atagombea tena nafasi ile ile kuna uezekano kweli MTU akahama chama?Kama hama ikizuiwa means chaguzi za marudio zisizo za lazima zimezuiwa na matumizi yamebanywa simple huhitaji degree ya uchumi katika hili.
Lakini vyote ni Haki kwa mtumishi...wakati wa awamu za kifisadi vyote vilipatikana sijui pamoja na kuondoa hewa na makandokando yote bado tunakwama wapi?
Kuwa
Kuwa single mamy wala si tatizo shida nini kipo nyuma ya huo uongo uliotukuka? Kuhusu umri na kuwepo kwa mtoto? Anayeishi nae ndo anawajibika kujiridhisha Kama huu uongo ulikuwa na nia njema ndani yake ama la!
Kuna
Uhalisia Unasema kinyume hakuna mapenzi yanayozidi mapenzi kwa mtoto, pia kwanini mama mkwe ameamua kufunguka kwa mkwe wake? Mdau ajitulize afanye maamuzi sahihi bila shinikizo letu.
Kwa mantiki hii unataka kutuambia kuwa Dodoma ndo sehemu yenye watu wengi wenye shida ya afya ya akili? Yaani Dar es salaam ndo kuna shida zaidi za kuvunjika... MoI na Pia shida za Moyo JKHI muhimbili? Si kila theory ni valid kila mahali.
Nimejaribu kupitia makala na baadhi ya michango ya wadau vyote vimeshindwa kuonyesha ni kitu gani Uru Kama eneo kipo kinachopelekea watu wa eneo hilo kuwa vichaa zaidi ya pengine hivyo kuzalisha vichaa wengi.
Wadau wanapaswa kukumbuka Moshi mjini kama sehemu ya Uru inahospitali inayohudumia...
Nchi yangu watuhumiwa wanakufa mikononi mwa polisi na wanainji wanashangilia? mtandao wake itakuwaje (kama kweli ndo mhusika) hivi angepigwa ya mguu angeendelea kukimbia!
Mkuu statement inasema either gender na hesabu inafanyika baada ya wajumbe wote tisa kupatikana, hivyo kwa nafasi mbili na moja tukiacha siasa na mahaba ya vyama vyetu sharti hilo haliwezekani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.