Hahaha, inaonekana hujakaa vijijini ukajua raia wema wanatupia yebo za aina gani.
Kuna hizi yebo watu wanauziwa 2000 hadi 3000 huko vijijini, nadhan utakuwa umezipata.
Biashara ya chap ni kununua yeboyebo na kizikimbiza kwenye magulio na minadani huku vijijini.
Pita vijiji vyote vya handeni hadi Singida huko. Baada ya mwaka urudi hapa kutupa mrejesho.
Kazi kwako...
Nunua baro moja la vitenge, java, linauzwa laki 5 hadi 7.5 kutegemea na msimu. Ingia minadani na magulioni huku Handeni, pitia Gairo hadi Manyoni huko.
Baada ya mwaka utakuja kunishukuru kama ni mwenye kushukuru.
Gharama lazima ziwepo, wakikuambia lazima waende stationery ambayo ipo mbali na shule ilipo ujue hapo nauli lazima ihusike, kuprint na mengine jiongeze.
Nadhani shuleni leaving certificates zipo softcopy, so, walimu hujaza details za mtoto, wanaprint na kugonga muhuri.
Sasa hapo kwenye kuprint na kujaza details za mwanafunzi ndo unakuta watu wanakula cha juu.
So, kaa kwa kutulia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.