Na hao wafalme wa Saudia mbona hamsemi wamekaa miaka mingapi? Walibya watajuta kama WaIraq! Unaposema eti mbwa kafunwa kamba shingoni unamaanisha uhru upi ukilinganisha na hapa Bongo ambapo utajiri wa aslili wanafaiodi wageni! Tunaimbiwa wimbowa UTULIVU NA AMANI wakati pengo kati ya matajiri na...
Magufuli nae mbona najivunjia heshima? Hivi kwanza atuambie yuko likizo au? Maana hata gari alilokwenda nalo ni la serikali< dereva analipwa posho, mafuta n.k! Pia kula lile jibaba la kulala bungeni TYSON limepiga kambi Igunga! Sijui ofisi kamwachia nani! Yeye pia anatumia nyenzo za serikali...
Hawa magamba kwa kuingizwa mjini ndi utamaduni wao! Hebu Fazafox atuambie kinachendelea pale Kipawa Terminal II ambayo wachina waliweka mabango makuuubwa lakin mpaka sasa ni nyasi zinastawi kule ndani! kwanini anatulazimisha tuishi kwa kusadiki?
Yaani Mkere anavyojua kutumua kodi za walalahoi! Hebu fikiria matatizo na ukata tulionao yeye anafunga safari kumuona50Cent!
Mnakumbuka alivyokwenda Jamaica akaenda kubembea kwenye Skyline na usiku akahudhuria tamasha la Reggae( ambako ukumbini bangi ni halali!)
Hao CCM badala ya kununua ambulance na kuboresha vituo vya afya wanaagiza magari ya maji ya kuwashaya bei mbaya ili kudhibiti upinzani! hebu angalia aibu tuliyoipata juzi kwenye ajali ya meli! Hata vifaa vya kujiokolea hakuna! Msafara wa RAIS WETU MPENDWA uana magari ya anasa ni balaa!
Ngoja...
Dar Village iko sokoni! Wachina(Contractors) wako mahakamani wanadai chaO na dameges! Halafu Magufufuli nae hataki kuona A1 Outdoor kwenye barabara zake! jamaa hali ni tete kama ilivyokuwa kwa baba wataifa!
Ufirauni waliokuwa wakiufanya hapo ROSE GARDEN na hiyo G8 yao na ZADDOCK akiwa Chairman...
Anamvutia pumzi! maana this time wameamua kuwafungia jela kabisa ili wabanwe na liu wapate kuwatafuna Vizuri! Last time warembo walipokuwa Girraffe Hotel walikuwa usiku wanatoroka kwenda kupata First aid kwa wapenzi wao but this time wameweka mpaka camera ili mtu asije toroka.
Jamani tuwaonee...
Barclays Bank walikuja na mtindo wa kuajiri graduates mbona walikiona cha moto1 vijana walikwiba kwa kasi ya ajabu maana kila mtu anataka awe na gari, ajenge nyumba akishindwa sana apange nyumba nzima!
Wako wapi polisi wa dunia waende Wakasaidie? Libya walikwenda kupigana ON HUMANITARIAN GROUNDS! sasa Huo Uhuman wao mbona hatuuoni Somalia? au kwa kuwa hakuna Mafuta?
Hatuna serrikali hapa! ukiona waziri anaenda kukopa ili anusuru budget wakati makaburu wanavuna madini kwa ulaini na kutuachia mashimo!
Serikali imewekwa mfukoni na hawa wauza mafuta! maana wao ndio waliotoa fadha ili chama cha magamba kirudi madarakani!
Lakini wakumbuke kwamba THE WIND OF...
Huyu anatapatapA! hebu mkumbusheni ya Ditopile! maana bosi wake ((RPC Tibaigana) alijikanyga kanyaga kutangaza mauji aliyo fanye Ditopile! habu fikiria mtu kama PRC tena wa Special zone anautngazia umma eti" Sijui risasi ilifyatuka au alifyatua" lakinui MUNGU akatoa hukumu yake! DiTTo kafia...
Mwaka jana alihudhuria tamasha la reggae Jamaica! Akaenda kubebembea kwenye skyline! Sasa uanfiri Birthday ya MADIBA itamkosa? anasingizia ziara ya kiserikali!Miaka hii kumi turekodi "maumivU'
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.