Suspension bridge are very expensive ukitaka kufananisha labda lifananishe na akashi bridge la Japan lililotumia mabilioni ya dola na miaka 10 kujengwa wkt lina km 2 tu.
Don't compare suspension bridge with normal bridge sbb ni kma apples n oranges
Banza Stone enzi za Uhai wake.
Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi, Banza Stone amefariki dunia leo hii Ijumaa. Ramadhani Masanja amefikwa na umauti kutokana na kuandamwa muda mrefu na magonjwa.
Eti ilikuaje ukabeba zege na mkeo akawa mama ntilie wkt ulisomesha masters ya uchumi na BOT uka graduate ukiwa wa kwanza???? What happebed? Au ndo uongo wa kujifanya masikini
Songosongo iligunduliwa mwaka 1982 na ikaendelezwa mwaka 2004. Hii sa ss ipo kina kirefuuuu km 80 toka nchi kavu na km 4 toka juu ya maji. Mpk kuweka mabomba yote na kujenga mtambo wa kuisafisha. Gesi tutanza kutumia after 2025 nadhan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.