Mbona matokeo yanacheleweshwa jamani? Je ni Gamba au Combat? tunahamu ya kujua matokeo tumechoka na matokeo feki toka jana saa 7 mchana sijui wengine walikuwa wanayapata wapi wakati hata vituo havijafungwa. Tume fanyeni tuone basi tujue kusuka ama kunyoa.....
inategemeana, kama wengine walivyosema.. huyo mwanamke unamuhitaji unamuhitaji kwa kumtumia fasta au ndo mke. kama mke ina maana lazima approach yake iwe tofauti na kicheche. Huwezi muambia oyaa ni nataka nit%$#^ne na wewe ila kicheche poa tu unaropoka tu kwamba hata akikataa huna hasara. Mke...
Acha ushamba wewe, we ni mzima? uathirika wa Kibonde unakuhusu nini? Mbona hata ndugu zako wapo waathirika hatuwasemi? mseme kibonde kama kibonde uathirika wake unakuhusu nini? we mwenyewe malaya unauhakika gani na kesho kama hutaathirika? hizo sio kauri za kuzitoa kwa watu wenye akili zao nyambafu
huyu Sugu uongozi wa visasi siye hatuukubali, mie ninaona anawanyima raha watu wa mbeya na si clouds. aache watu wajiachie mambo ya visasi kama kiongozi angeachana nayo. kishakuwa kiongozi mambo ya mtaani achane nayo ni hayo tu
:nono:wana jamii muna comments nzuri sana, lakini munapozungumzia ugonjwa wa mtu hususani HIV wakati nyinyi wenyewe pengine hamjui afya zenu munatuchefua sana mpaka munayoongea inaonekana kama munamuonea wakati munaongea jambo la msingi.... acheni mara moja unyanyapaaji huo
Zaidi nitamkumbuka kwa maagizo yake ambayo hayatekelezwi na wasaidizi wake na yeye kukaa kimya mfano Elimu: Aliagiza wanaosomea udaktari na Ualimu wapate mkopo 100%, Haikufanyika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.