Meter na 24219578069
Jina Athuman
Tarehe 13-8-2021
Tatizo -nilinunua umeme wa elfu tano kwa tigo pesa namba 0655 882106 bahati mbaya mtoto akafuta meseji ya token kabla hajaingiza, naomba msaada wa token niweze kuingiza, natanguliza shukran
Nimelipia kuunganishiwa umeme tokea mwaka jana, nkawekea luku lakin ikashindwa kusoma, baada ya units za kuanzia nlizowekewa kwisha, Tanesco walikuja na kufungua luku na kuondoka nayo tokea mwaka jana mpaka Leo kimya
Jina Rose Mgonela
Eneo stend kuu mbeya
Wilaya Mbeya mjini
Simu 0752 262650...
Wataalam wa afya, naomba msaada juu ya athari za kiafya kama zipo juu ya hili.Dada zetu na mama zetu siku wapikapo wali hufunika sefuria inayopikiwa wali kwa kutumia mifuko ya plastiki na hasa mieusi, je kuna athari zozote kiafya ?, huanza mfuko wa plastiki afu mfuniko, lakin dada zetu na mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.