Search results

  1. B

    Michuzi sio sawa: Uchakachuaji wa picha za ccm za Jangwani leo 9.6.12

    Jamani sitaki kuangalia picha wala nini ila nilikuwepo na watu walikuwa wengi saaaaaaaaaaaaaaaana. That's all. Achana na picha bali uliza tuliokuwepo. Watu walikuwepo wa kutosha. Mengineyo ni ushabiki tu.
  2. B

    Wema sepetu inatosha !

    SIAMINI KWAMBA WEWE ULIYEANZISHA HII POST HUJUI KUWA LIKUWA NARECORD MOVIE. lol.......
  3. B

    John Shibuda na mgogoro wa Kauli ya kuisifia CCM; Kauli za wana CHADEMA

    Na sisi CHADEMA tumezidi kila kukicha tunafurahia ooh watu 100 wajiunga CHADEMA, ooh watu million 2 wamehamia CHEDEMA. Hivi hao watu hata hatujali kujua kweli wanaipenda CHEDEMA au ni kwavile tu tunataka population iongezeke? That is very bad. Wengi wao sasa ni kama akina Shibuda.
  4. B

    Nassari: Sina nia ya kugawa nchi

    Kama ndivyo ulivyomaanisha basi naamini hakuna lugha ngumu kama kiswahili.
  5. B

    Taarifa kwa Umma-Tamko la J.Nassari kuhusu Tamko la NMC

    Usirudie tena kupayukapayuka ovyo.
  6. B

    Joshua Nassari MB.

    Huyu mtoto anaongea sana jamani si anyamaze????????????????? Mdomo ulimponza ulimi. Mbowe amemwambia bora akae kimya. Kama kukosea alishakosea.
  7. B

    Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

    mie ndo sijamwelewa kabisa bora wewe umemwelewa naona.
  8. B

    Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

    utaendelea kumwona saaaaaaaaaaaaaana. Kwaheri mwenyewe.
  9. B

    Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

    mi mwenywe namshangaa kwa kukurupuka.
  10. B

    Kikwete afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri - Aprili 2012

    Wee vipi??????????????? Hili jembe limesepeshwje? Lipo linadunda labda kama wewe mwenyewe ndo umesepeshwa. M,wanry yupo ndani ya baraza au umesoma na kusikiliza between the line?
  11. B

    CCM siyo mama yangu-Maige!!!!!

    nimeipenda hii ya bwana twiga. Hahahahhahahhah
  12. B

    mbeya nataka kitimoto

    Mwee umenikumbusha kitimoto cha Mbeya kitamu saaaaaaaaaaaaaaaaaaana. Mbona vipo kila mahali huko si unajua huko ndo waanzilishi wa huyo mdudu na wanampenda san tena bei rahisi sio kama Dar.
  13. B

    Ukweli kuhusu CHADEMA Iringa na uongo wa TUNTEMEKE

    Sometimes tuwe tunakuwa wakweli. Iringa chadema sio kihivyoooooooooooo. Hata msigwa na akina chiku wanajua. Shukuruni tu ccm walivyo mess kumweka mama mbega na kumtoa mwakalebela otherwise hakuna kitu pale. Panahitaji kuimarishwa. Msigwa ilikuwa bahati nasibu. Acheni ugomvi imarisheni chama...
  14. B

    CHADEMA yapoteza mvuto majimboni..Tumewachoka

    Hao chadema zaidi ya kelel na majigambo kila kukicha mie huwa sioni la maana wanalolifanya. Ni keleleeeeeeeeeeeeeeee. Mapaka tunachoka.
  15. B

    Hotel gani bora zaidi Mjini Tanga?

    Of course tanga beach resort. Huu mkoa hotel nzuri hakuna ila hiyo.
  16. B

    Tabia chafu ya TBC

    Jamani nakiri tbc huwa wana mapungufu sometimes lakini leo toka bunge limeanza saa 3 asubuhi naangalia na bado naangali mpaka muda huu sijaona mahali mawasiliano yamekatika. Nakushangaa. Kuna mtu juu kasema anaangalia kupitia dstv mimi binafsi natumia dish la kawaida na wala mawasiliano...
  17. B

    CCM yahonga maaskofu Arumeru

    "do what i preach don't do what i do"
  18. B

    Tujikumbushe Joshua Nassari na uchaguzi wa BAVICHA

    Jamani wengine hatuelewi. Alipata kura 2 wapi? Nahitaji kueleweshwa ili nami nijiunge na wanotukana au nisikitike. Japo kutukana siwezi. Sijazoea tabia hiyo ila naomba nieleweshwe kura 2 zilikuwa za nini na ni kati ya ngapi? 3 au?
Back
Top Bottom