Nimeskia kuna baadhi ya waalim waloajiriwa mwaka huu wamerudi makwao kwa kukosekana fedha za kujikimu katika wilaya walikopangwa. Lengo la serikali kwa vjana hao lilikuwa ni nini?
Je ni sahihi kuwalipa mishahara huku wakiwa majumbani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.