Jamani wanajamii hawa jama wa utumishi wameweka file la tangazo la kazi leo 11 juni lakini halifunguki. zaidi angalia mwenyewe kwenye website yao.:nod::kev:
Mi kijana (mvulana) nimehitimu mafunzo ya uhazili na kompyuta katika chuo cha veta iringa kwa muda wa masomo wa miaka 2 level ii na kufaulu pia nimefanikiwa kufanya mtihani wa nabe (nationalbusiness exams) hatua ya i-iii na kufaulu. Naomba mnisaidie kazi jamani uwezo mzuri na uzoefu mzuri...
Wadau mimi ni mvulana jamani nimehitimu masomo yangu ya Secretarial and Computer naomba kazi. Nina Level II ya miaka miwili na Pia nina NABE Stage III, ninauwezo na uzoefu mzuri katika kazi ya Secretarial au utunzaji kumbukumbu, nisaidieni kazi hizo. :A S 576:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.