Wakuu mimi nina forester 2002, second generation, ina turbo...ulaji wake ni km 5.3 kwa Lita, hivi ndio kawaida ya haya magari? Au Kuna tatizo mahali? Msaada tafadhali!
binadamu akishashiba ugali anakuwa na matatizo sana...lakini kumbuka MUNGU ataleta hukumuni kila neno (every vain word spoken)...enyi wa uzazi wa kishenzi, endelea kupindisha ukweli na kusema uongo , kama baba yenu ibilisi!
Pole mzee, swali langu ni moja...je, unamtimizia mahitaji yake? njia rahisi ya kupata attention na heshima kutoka kwa mke, ni kutimiza wajibu wako kama baba. Mpende mkeo. Usiwe kama wale wanaume ambao wanalipigia hesabu ela ya mkewe. Kama mkeo, akipenda ela yake iingie kwenye matumizi ...
Watu wanashindwa kuelewa...biblia imeweka wazi kwamba ni amri mwanaume kumpenda mke wake, na kwa mwanamke imesema amtii mme wake. Ukitaka heshima, unyenyekevu wa mwanamke, ukitaka kufurahia ndoa yako... mpende mkeo. Unapozidisha upendo kwa mkeo, ndivyo utakavyozidi kufurahia ndoa yako na ndivyo...
Inasikitisha sana...haya ndo matokeo ya kuwapa vilaza kufundisha watoto. Ifike mahala tuambiane ukweli, waliofeli shule, kukimbilia ualimu si sawa. Tutaendelea kutengeza watoto mambumbumbu. Yesu aliwahi kusema," Inamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake". Ina maana kama uelewa wa mwanafunzi...
Subiria kesi za huyo dada wa kazi na mkeo....Kwa taarifa yako, huyo binti kashasema kwa mashosti zake...siku ukishtuka mtaa mzima umejua ( Wanawake wenyewe wanasema "umbeya kwao suna...").
Kuwa na uhakika na yafuatayo:
- Atakutegeshea ujauzito...
- Atagombana na mkeo...
- Ndoa yako...
Nimeipenda hiyo! Kuna jamaa aliwahi kusema, ku-abort mtoto hakukufanyi usiwe na ujauzito, bali mama wa mtoto aliyekufa! Ukifikiria vizuri...it makes a lot of sense!
Nani asiyejua CCM kwa majungu, kulipana kisasi, na visirani...mambo sasa yamebadilika, hamwezi kufanya kama mnavyotaka. Siasa za ubabe zimefika mwisho!
"Nanyi wanaume ishini na wake zenu kwa akili mkijua kwamba wao ni viumbe dhaifu". Biblia
- Si kiila tatizo linaisha kwa mazungumzo
- Unaitaji kumpenda...hiyo ni dalili kwamba upendo kwenye ndoa yenu imepungua. Si kila akikuudhi unatakiwa kuanzisha ugomvi...hiyo ni dalili kwamba hata wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.