Benisaanane lisuu kupora pesa kwa wafanyabiashara wakimuacha makonda kutakuwa kunaonesha double standard makonda akamatwe ana meng sana ya kujib kwan aliumiza weng sana lengai tayar next makonda pls
Nyani nakusapot 100 % wapinzan hawajielew ivi walitegemea nn kwa tume ile ile ilioteuliwa na watu wale wale tena mtu alisha sema anamlipa mkurugenzi then mkurugenz amtangaze mpinzani hiv hawa ndugu zetu walitegemea kutangazwa wameshinda uchaguzi kwa tume hii mkurugenzi ni kama tena hata...
Lots of disappointment kwenye huu uchaguzi imekuwa ni police against wananchi hakuna uchaguzi toka tumepata uhuru umekuwa hivi haki imeporwa waziwazi ni aibu aibu aibu.
Wapinzan wajifunze Bila tume huru ya uchaguz hakuna uchaguzi.
Nec wamempa tundu popularity ya bure now kila Mtanzania alikuwa anasubiri kwanini hawamteui Lissu hivi inaingia akilini mtu kakutana na mamilion ya Watanzania then wawe feki kwamba inabidi wahakikiwe ajabu sana
Nafkir hilo liwe Funzo kwa vijana wote hasa wale wa ccm nan alijua in less than 5 year Nape kinana na January they will be nothing
My advice be humble play nice politics huwezi jua litakalo kutokea mbeleni usiwe adui na yoyote cos kesho mnaweza kuwa marafiki vijana tujifunze kwa hili...
Paskal ndugu yangu hawa weshindwa kujibu uongo wa Gazeti pendwa la Tanzanite ndo wataweza kujibu hoja za jarida maarufu duniani kote "the economist"hell no
the economist wanahoja tena nzuri sana though kuna baadhi ya vitu wamekuwa misinformed lakin hiyo haiondoi uhalali tupo pabaya sana now...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.