Swala hapa linalojadiliwa ni fulani kapata fulani kakosa, aliyekosa ndo anaanza kutafuta sababu za kwanini huyu apate na mimi nikose. Kuna vijana wangu kibao ninaowajua wapo TRA na wote ni makabila tofauti, tulipomaliza chuo wao waliomba na kupata na mimi nilikosa.
Baadae nilipata BoT bila ya...
Sioni ubaya wa kuwa na Bango limeandikwa kwa lugha yao. Ila nakushangaa kwanini ujawahi kulalamika kuwa kuna mabango mengi yameandikwa kwa lugha ya kiingereza, kiarabu na nyinginezo au unadhani hizi ni lugha zetu?
Kama utakuwa ni wa umri wangu, utakumbuka mwaka 1972 Tanzania ilipigana vita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.