Kama ku battle na battle,
Usinione underground,
Hasira kwenye msoto,
Na idea zinazosound,
Hii verse imeenda shule wala haitaki, mizani,
Uzi to wangu ni soo haupimiki kwa mizani,
Na ryms zangu ni hoo t ikuingiapo sikion,
Nahitaji kubadilisha gear box ya gari(TOYOTA hiace engine 1tR) kuIfanya manual. Haina tatizo ila ni kwamba ulaji wa mafuta wa auto uko juu sana.
Nahitaji ushauri kwanza ni vifaa gani vitahitajika na vinaweza kugharim kiasi gani? Vilevile je hii gear box nitayotoa naweza kupata mteja?
Vipi kwa ajili ya biashara ya daladala maana mie nipo Mwanza na huku mafundi wanadai 3l na 5l ndo zinastahimili. Vilevile ndo zipo nyingi ktk biashara hii. Pia nikiangalia bei naona 1kz zina bei nafuu kuliko 3l na 5l lkn hazitumiwi sana kwenye biashara.
Habari zenu, msaada tafadhali........
Naomba kufahamishwa juu ya tofauti ya ubora wa toyota hiace yenye engine ya 3l na toyota hiace yenye engine ya 1kz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.