Bunge letu la katiba linaelekea kutoa picha halisi ya ni jinsi gani watanzania tulivyo zaidi ya kuonyesha au kusaidia kuipata katiba mpya kama wote tulivyonuia. Ushabiki wa vyama na sera za vyama zimejionyesha wazi na hata wajumbe kuanza kujadili/kuanzisha hoja za nguvu huku wakishindwa...
Nilipost hii mwezi wa NNe, Na Matukio ndo yanazidi kunichanganya yaani kufanana fanana kwingi...... anyway Nakumbushia ili wapiga kura tutafakari zaidi kwa ajiri ya Tanzania.......2015
""Jibu rahisi ni HAPANA hawafanani! bado niko katika kutafakari juu ya nani ni afadhali ya mwenzie. Kwa...
Pamoja na mjadala kufungwa ndani ya chama na Bos Slaa, bado JF imejaa posts zinazomhusu Zito. Kwa kiasi fulani Umaarufu wa CHADEMA umeongezeka na hali hii itaendelea kupanda kulingana na matukio tunayoyatarajia, ikiwemo kuvuliwa uanachama, KUB Bungeni kumjadili nk. Kwa upande mwingine Hoja...
Dr. Slaa kafunga mjadala? hiki sio kikao cha chama nashangaa wavivu wa kufikiri nao wansisitiza mjadala umeshafungwa!! Huku JF watanzania tunaendlea kujadili hoja kama kawa! tabu kwenu wenye magonjwa ya ushabiki wa vyama badala ya hoja!!
Mwikimbi hayo matatizo uliyoyainisha hapo juu sio kitu...
katoroka au kakimbia nchi? nipo katika kutafakari na U ccmquine au u chademaquine ni aina ya magonjwa wanayougua waumini wake. Mie sio mmojawenu... ni muarobaini mchungu kwa ajiri ya TANZANIA.
Mkuu mbona unajichanganya na habari yako? ametoroka au kaenda nje ya nchi kikazi? nauliza tu nikiwa katika juhudi za kujitenga na wavivu wa kufikiri kabla ya kuchangia hoja!
JE huu NI UPINZANIA WA KWELI huu au mapenzi tu kwenye pesa? yaani roho yake hatujishughurishi nayo ila pesa yake INSHALLAH.....I WISH ingekuwa hivi na ndani ya vikao vya vyama vyetu hivi yaani kukubaliana kutokukubaliana!! SEBODO ANAKUBALIKA KOTE CHADEMA NA CCM...... Jaribu kumuiga na umasikini...
Nimeshawahi kusema hapa mara nyingi kwamba harakati za vijana katika siasa zinafungwa speed governor na wazee wasiopenda mabadiliko ndani ya vyama vya siasa.Fikra huru zinashambuliwa ndani ya vyama vya siasa.....nimefurahishwa pia na maneno ya Nape Nnauye bila kujali itikadi za kisiasa.Pia...
Ni kweli si kweli? Hili ni swali ambalo kwa sasa limetawala siasa za Tanzania na kwa sababu hapajawahi kutolewa majibu yanaoonyesha ni kweli au si kweli basi kila kukicha huwa kuna topic mpya ikihitaji kujibiwa kama ni kweli au si kweli!! Uvivu wetu wa kufikiri umejawa na kasumba ya imani kwamba...
Ni Mtazamo wangu tu wadau, nimefungua post hii kwa muwashawasha mkubwa lkn at the end nakutana na hiki1 comment:
MAINAOctober 10, 2013 at 3:09 AM
Tanzanians have a long way to go.....The have at first eradicate the slow culture especially in everything they do...But Still the corruption...
Mkuu nahisi bado kuna details zinakosekana katika maelezo yako na hii inafanya wasomaji wadeal na namba au gharama tu. Ningependa kufahamu zaidi hizo safari zinagharamiwa ni za nini na zinagharamiwa na nani. Uchache wa safari za Clinton (maandalizi, ulinzi nk. huenda unalingana na gharama nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.