nilimshtukia zitto 2010.aliongozana na mhe dr.slaa jimboni kwake.katika mkutano mmoja akasema atagombea urais 2015.nilishtuka.nikaanza kumfuatilia kwa karibu nikagundua kuwa huyu mtu hakuwa mwanasiasa.ni mchumia tumbo.kuna habari zinasambaa sasa hivi kuwa alipewa magari na mhe mkono kwa...
zitto alishaondoka chadema siku nyingi.sijui kwa nini watu hawajaelewa hili.huyu ni ccm mwanzo mwisho!watu walikuwa wanashangaa kwa nini cdm walimvumilia hivyo!maswali makubwa ya kujiuliza sasa hivi na kuyapatia majibu ni kwa nini watu wakigoma wanafanya mambo namna hii?ni kwa nini ccm inafanya...
huyu msaliti alikuwa anajaribu kuwachanganya wahe.halima na nassary.aliwapeleka na kuwafanyia pati ukingoni mwa ziwa tanganyika.nikamtonya halima.nilianza kumshtukia wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2010.akiwa na dr. Slaa alisikika akisema huko kigoma atagombea urais 2015.kumbe alishakuwa...
mimi ningekuwa huko baraza kuu ningemlamba bakora kishenzi!!!halafu ningemtupa dirishani.shenzy kabisa.amekidhalilisha sana chuo kikuu alichosoma.UDSM inaonekana sasa ni mafi kabisa.inatoa wasomi aina ya zitto??udsm ianzishe utaratibu wa kuwafuatilia wahitimu wake.WANAKIAIBISHA...
hivi hakuna sheria ya kuwakamata hawa watu ambao wanazunguka nchi nzima kukichafua cmd na kwafunga jela.?chadema ni chama kikubwa kushinda hata ccm kwa maana kupendwa.ifike wakati sheria zitumike.itatokea siku wanacdm wakachua sheria mkononi.
kwa makosa aliyofanya alipashwa kuvuliwa nguo na kucharazwa bakora.halafu afunguliwe mbwa.eti huyu ni msomi wa chuo kikuu cha daressalaam anafanya mambo ya aibu namna hii.prof.mukandala anajisikiaje?
VUTA-NKUVUTE Zitto alishtukiwa siku nyingi na watanzania.hata kwenye daladala wanamsema vibaya sana huyu mtu.nawashangaa wahariri wanavyomwandika kwenye kurasa za mbele za magazeti yao kila uchao.hii inaonyesha ni kwa kiasi gani uandishi wa habari ulivyo chini hapa tanzania.uandishi kabila hii...
nilianza kumshtukia zitto tangu 2010.wewe unamjua leo mkuu.?ukitaka kuwajua wanasiasa bogus uwe na tabia ya kuchunguza sana kauli zao na matendo yao.tunasubiri kauli ya viongozi wa chadema sababu za kumvumilia kwa kipindi kirefu hivi bila kumchukulia hatua!
nadhani alitumwa na magamba wenzake na labda na uwt atoke na single ya mabilioni ya uswiss ili wamwongezee umaarufu aweze kuwapindua viongozi wa chadema.
kama ni kweli amechukua pesa ccm ili kuidhoofisha chadema ili ccm isiondoke madarakani hawezi kuacha kutumia mitandao ya kijamii na waandishi wachumia tumbo kuwananga viongozi wa chadema.si amepewa kazi na analipwa?
sure,umaarufu wa zitto aliotengenezewa na mbowe is now history.i pitty him.alikuwa amejengewa politcal capital kubwa sana na chadema.sasa najiuliza nini kilimsukuma mpaka akajidhalilisha to that extent mbele ya jamii ya tanzania.na kwa ufahamu wangu kuact kama double agent ni mchezo hatari...
haya magazeti radio tv ambayo hayatangazi mambo ya chadema au yanapotosha yanajitakia mema?inaweza kabisa kutabiriwa kuwa itafika siku wanachadema hawatasoma haya magazeti.vyombo hivi vya habari vinatangaza sana ulaghai na uongo wa ccm na wamefanya hivyo kwa muda mrefu!wasipojirekebisha time...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.