hii ni kweli,,,unaenda kwa watu kufanya nn? Kaa kwenu kama huna chakufanya huko mjini,,kuna siku utaanza kuchambisha watoto...hapo hm...hapo utasemaje?
Namchunguze labda ana tatizo lakisaikolojia tht iz why ana hajisikii..au wajanja nnje wana kula kiana.,,,japo ina umma mtu una mgharamia kila kitu alafu ana kunyima unyumba anakutia majaribu ili ukalete ukimwi nnje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.