Lema ndo kiboko ya Mulongo mkuu wa mkoa mpya wa Mwanza. Sasa Wenje na Kiwia kaeni na ndugu yenu awape semina jinsi ya kuishi na huyo jamaa, la sivyo atawasumbua sana.
Bwana Magesa ni mtata na asiyetaka kushaurika na mwenye maamuzi ya pekee ya hovyo. Hapatani na makada wenzake kwa kuwa na...
Kwanza salute kwako Ally K, hakika ulijipanga na kuteka umati wa maelfu kwa shangwe zile, na pole sana Diamond kwa kuzomewa. Alianza Aly k kupanda stejini, alishangiliwa sana kupita maelezo muda wote, watu waliimba jina lake, hata kabla hajapanda stejin, watu walisikika wakiwaambia wasanii...
hakika aly kiba kwa kile nilichokishuhudia alimkalisha diamond. Pamoja na back up ya chege na ney bdo hakufua dafu kwa aly kiba na hatimaye diamond aliishia kuzomewa.
Sisi tunawaza kuwashirikisha wao kwenye nyimbo zetu, ila wao hawafikirii hlo kabsa.. Wao wanafanya album na zinauzika kwa bei nzuri za kuwanufaisha sana kulingana na misingi ya hakimiliki nchini kwao, sisi huku album hazitolewi tena kwa kuwa haziwalipi. Matarajio ya wasanii wa bongo kama ally...
Ndugu wana JF hasa wale walio waislam, hebu tufikiri kwa kina na tupanuane mawazo kidogo. Ni kweli tunataka mahakama ya kadhi, lakini uendeshaji wake utategemea hasa kodi zinazotozwa kwenye vile vitu tunavyovipiga vita ambavyo ni pamoja na sigara, pombe na nguruwe. Hapa Tanzania kwa takwimu za...
Haijajulikana kama ni stunt au ni ukweli wa moyo wake katika vipimo. Ila staa kutoka group ya wanamuziki wa Marekani wanaojitanaibaisha kuwa wana 'mtonyo' wa kufa mtu YMCMB, Lil Wayne ameujulisha ulimwengu kuwa yeye ni muathirika wa ugonjwa hatari wa Ukimwi. Lil wayne ameweka ujumbe huwa katika...
Mchaka mchaka wa mwakani utumie kujitangaza tu na kuchukua uzoefu. Ila wewe bado sana kupewa dola bwana mdogo.. Mwakani ni mchakamchaka wa maveterani watupu, hata utengeneze kambi gani huwezi kupita. Ni vyema ukasubiri 2025 uchuane na vijana wenzako wanaoandaliwa kama RK, Nchimbi na Mwinyi Jr...
Bwana mdogo nadhani una maskauti wanaopeperusha newz zako humu, hao wakufkshie taarifa.. Kuna Mkongomani anamburuza nyapu Wema Sepetu. Amka bro mali yako inaliwa. Mkongo huyo ana pesa ndefu, ndiye aliyekuwa anamnyembua Jack Wolper kule Nairobi.
Wahudumu wa Regency Park pale Mikocheni wanajua...
Katika mahojiano ya mwaka 2013 na gazeti flani linalotoka kwa wiki mara moja, RK aliwahi kuulizwa kuwa ikitokea anamuunga mkono mgombea urais 2015, kati ya Mr Mtama na Mmasai atamuunga yupi mkono. Bila kuchelewa RK akajibu nitamuunga Mr Mtama, aliendelea kudai kuwa Mr Mtama anakuja kwetu mara...
Mwenyekiti Mtendaji wa Makapuni ya IPP ndugu Dr R. Mengi ametinga fainali ya tuzo za Mfanyafabiashara bora kategori ya East Africa.. Waandaaji wa Tuzo hzo ni chaneli ya television ya Masuala ya Fedha na biashara Africa iitwayo CNBC Africa. AABLA ni tuzo kubwa zaidi ya biashara barani Africa...
Mwenyekiti Mtendaji wa Makapuni ya IPP ndugu Dr R. Mengi ametinga fainali ya tuzo za Mfanyafabiashara bora kategori ya East Africa.. Waandaaji wa Tuzo hzo ni chaneli ya television ya Masuala ya Fedha na biashara Africa iitwayo CNBC Africa. AABLA ni tuzo kubwa zaidi ya biashara barani Africa...
Kwenye Zouk Rhumba huko Diamond na Ally Kiba hawana mpinzani anayewafuata. Ila kwa RnB basi Jux anatoa upinzani mkubwa kwa Rama Dee kwa sasa.
Ametambulisha nyimbo mpya iitwayo sisikii, ni shida kuanzia beat na mpangilio wa sauti.
Nyimbo imefanyika AM Rec na Maneke amehusika kwny mdundo...
Baada ya kupoteza mvuto na heshima yake ya 'mikono safi' mbele ya jamii kupitia usimamizi mbovu wa 'kinazi' wa BMK, Mh Sitta anatafuta angalau huruma ya waislamu kwa kukonga nyonyo zao kwa kuiingiza mahakama ya kadhi ndani ya katiba kwny kamati ya uandishi tena bila kujadiliwa na kamati ya...
Jamaa ni muhaya wa Muleba, professionally ni Mshauri wa Kimataifa wa masuala ya biashara.. Jamaa ana pesa nyingi na ndiye anayehusishwa na "mtonyo" wa IPTL kupitia kampuni yake ya VIP Engeneering and Marketing Co. Ltd ambayo ilikuwa na hisa kwny IPTL ya asilimia 30, na zingne 70 zilimilikiwa na...
Wakuu nawasalimia, wengne muda huu mpo nyumbani, wengne mpo viwanjani tayari kula bata. Leo nitaufurahia ucku huu na mtoto mzur sana na maarufu mno ktk jukwaa la MMU ndani ya JF. Wengi wenu mnamfahamu sana tena sana kwa ID yake na post zake na weng mnataman kumuona na mmesham-PM sana mktaka...
Mungu yupo katika nafsi 3, Petro alimkana Yesu mara 3, jogoo aliwika mara 3 Yesu alipokuwa anasulubiwa, Yesu alifufuka siku ya 3, serikali yoyote ina mihimili mi3, Tanzania ina makamu wa rais wa3, ili upike unahtaji mafiga ma3, kondom kwenye pakti zipo 3, Taifa star kafungwa na burundi goli 3...
Sio siri jamaa katoka kama vle wale modern hiphop artists wa marekani wanavyovaa kama 2chainz, Big Sean na Kanye West. Jamaa amevaa kuendana na sanaa ya hiphop ya kisasa. Hongera brother..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.