Mtu wa Pwani,
si ndo wee ulikuja na shairi hili...
Leo
Ni mie nakosea kuelewa au ushabadili mwelekeo?
Hao ulowaulizia "kwa kali zao kauli bungeni wakizitoa
sioni hata kivuli wapi wametokomea" ndo hao wanatoa data za ufisadi!
Wabunge wametaka Sheria ya Kazi na Ajira kuangaliwa upya, hususan suala la uhamisho wa kazi kwa watumishi wake, kwa kuwa linaongeza wimbi la nyumba ndogo pamoja na maambukizi ya Ukimwi.
http://www.ippmedia.com/ipp/nipashe/2007/07/31/95477.html
Ndani ya hiyo link jambo kuu lilozungumziwa...
Tuwe fair hapa; Lowassa alikutana na jopo lililohusisha wataalam, polisi na wawekezeja katika usafirishaji; ni jopo hilo ndilo lilifikia maamuzi haya, siyo maamuzi ya Lowassa binafsi! hao wahusika wote wanatakiwa kukaa tena kwa upya kuangalia kama hilo zoezi walilopa muda wa majaribio linafaa au...
Kutimuliwa kwa hao jamaa kama ni kwa ubadhirifu mi nawapa tano kamati kuu. Wakianza kamati Kuu kusafisha maovu tuna hakika kuwa polepole tutakuwa na viongozi wenye ahueni katika utendaji na uwajibikaji wao.Ni wazi kuwa viongozi tunowapigia kelele hivi sasa ni wana ccm walopitishwa na kamati yao...
Kada; hii ni dangerous path kwelikweli; kwa mfano, ni habari za kuaminika kuwa wengi wa vijana wasafirishaji huwa wanapitia VIP lounge watokapo huko kuzimuni na hayo madawa; hii yatosha kukuonyesha namna mtandao wake ulivyo. Tizama yule jamaa jirani yake marehemu Amina alokufa majuzi akiwa na...
naunga mkono hoja, ingawa nakiri kuwa haitokuwa kazi rahisi kuchuja yote.
Nimefungua thread yangu ya rambirambi kwa hishma ya marehemu nayo ishawekwa katika ile ingine japo nlijua kuwa ipo, ila yangu niliiona tofauti; sioni vibaya kama moderator kwa hekma yake kaona ziunganishwe
And so she died.
She was so young.
She was so charming.
She was so loved.
But they couldnt let her live.
She was a threat to them.
She was a thorn in their midst.
She HAD to go.
She had a daring heart.
She had a great love for her country.
She had the guts to tell them off.
She...
Mswahili unakuwa kero; mwiba; kadhia; balaa; aibu na mambo yote unoweza yatamka yanayofanana na hayo. U mtu gani wewe usie na haya unathubutu kuongelea mambo ya mama za watu? wataka ya mama yako na dada zako nayo yawekwe hapa? we mwenyewe file lako chafu! hiyo kazi unofanya ya kupiga chabo...
Whatever the reason, kumshangilia huko kumefunga mijadala yote inayomuhusu amabyo ingeweza ibuka huko bungeni, make ndo keshavuka vikwazo.
hongera mzee!
Ukistaajabu ya Mussa utaona ya Farao!
Huyo fred kaingia ubia na the famous bwana Albawadi wa Kempiski kwenye kampuni moja ya madini ya Tanzanite na sasa wako mbioni kujenga bonge la hoteli kwenye maeneo nyeti Arusha(usichanganye na 77)!
Mzee Mjj.
Mpaka sasa hivi hawa vijana wanahitaji fedha kiasi gani ili waweze kuendelea?
Kuna uwezekano wa kuwapatia wafadhili, ila wataka kujua in total watahitaji kiasi gani ili wasirudi majumbani, na je, ufadhili huo ni wa muda gani; yani, ni kwa mwaka huu tu au miaka miwili au mitatu ijayo?
Niliambiwa wakati sakata la kampeni ya kurudisha nyumba za serikali lilipopamba moto alishauriwa kurudisha nyumba; akarudisha baadhi, zile ambao 'wanoko' walizijua; ila ziko nyingi hadi mikoani bado kashikilia; alidiriki hata kuchukua share ya mfanyakazi halali wa serikali huko kusini; mwivi mkubwa!
Mie sishangai watu wanaomtetea Ben, nae ana wapambe wake, na pengine nae yumo humu kajisajili. sheria au sio sheria, hatuhitaji kwenda shule kujua kuwa raisi wa nchi kuomba mkopo na kununua mali akiwa bado katika ofisi yake ya uraisi huko ni kutumia madaraka yake vibaya: aa; wanaotoa mikopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.