Mwalimu Agapitho J. Anney anamtafuta mwalimu wa shule msingi kutoka Manyara ambaye angependa kuhamia Simiyu ili waweze kubadilishana. Kwa mawasiliano namba yake hii hapa. 0763264240
Ndugu yangu Makala Jr, kawaida Rais wetu anapoalikwa popote huwa anaandaa cha kuzungumza. Ikitokea akachomekewa jambo ambalo hakuwa nalo kwenye program yake siku hiyo lazima tu atachemsha. Nikupe mfano; Rais Kikwete Katika moja ya sherehe za CCM alisema hawafahamu wamiliki wa Richmond. Lakini...
Wewe roho yako ni mbaya kuliko mnyama wa mwituni.Maana kuweka mambo ya itikadi kwenye suala linalogusa maisha ya mtu ni ulimbukeni,ujinga, upumbavu, upuuzi na ukali uliopitiliza. Come to your sense you beast.
Huyu ni rafiki yangu mpendwa sana. Tumeachana mara mwisho mwaka 1997 tulipomaliza form four Kolila Sec. School . Anayemfahamu ua kama yeye mwenyewe atapata ujumbe huu anie PM tafadhali.
Ndugu yangu Mwenyezi Mungu amempa binadamu vitu vitatu kumtofautisha na mnyama; akili/utashi, aibu na huruma. Binadamu akikosa hivyo anakuwa mbaya kuliko hayawani wa mwituni. Lakini hata ni nafasi ya CCM kutafakari kama watachukua hatua juu ya hilo jambo au watakaa kimya.
Ndugu yangu Mwenyezi Mungu amempa binadamu vitu vitatu kumtofautisha na mnyama; akili/utashi, aibu na huruma. Binadamu akikosa hivyo anakuwa mbaya kuliko hayawani wa mwituni. Lakini hata ni nafasi ya CCM kutafakari kama watachukua hatua juu ya hilo jambo au watakaa kimya.
Nyie ndiyo wale mnaopost utambo mkijibiwa utambo mnaanza kung'aka. Hivi ukiitwa uthibitishe haya unayoandika utaweza. Narudia tena tumia ubongo wako kufikiri na pia si dhambi kutulia kama huna cha kuchangia
Hivi wewe most stupid creature on the World ukiambiwa uthibitishe huo ugaidi utaweza. Please mods uwe unachuja hizi threads kwani ni kweli hili ni jukwaa huru lakini uhuru bila nidhamu ni fujo.
Hivi wewe mbona leo umeamka na CHADEMA, au umeiota usiku nini. Ok tuachane na hayo, labdala ungemuuliza huyo Kafulila wako hakufukuzwa CHADEMA alihama mwenyewe, alifukuzwa NCCR akaangua kilio na kupiga magoti. Mbona hiyo hayajatoa comment yoyote. Please change that name. Huyo unayetumia jina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.