Nafikiri bado hujapata nafasi na muda ukasoma falsafa za huyu Mzee, au ukapata nafasi ya kutembelea katika nchi yake, katika bara la Afrika Libya iko juu sana katika huduma za kijamii,
Unaweza ukakosoa na ukaonesha kwamba Gadafi hana maana lakini kumbe ukawa umekosa hoja kwa sababu tu huna...
Juzi mamlaka ya chakula na dawa Zanzibar, yalifanya msako katika maeneyo mbali mbali ya mjini Unguja waligundua wauzaji wa supu ya pweza huongeza ndani yalke dawa aina ya viagra, inawezekana tukaona supu ya pweza inaongeza nguvu za kiume kumbe kuna vitu vimeongezwa ndani yake,
Haya mambo sio...
Wakuu heshima kwenu,
Nilifika Tandale Sokoni majira ya saa 11, jioni nikiwa na ndugu zangu niliotoka nao Zanzibar, ambapo kesho yake alfajiri walitakiwa kuondoka kwenda nje ya nchi, sasa tulikwenda huko kwa ajili ya kununua angalau vijizawadi kidogo, tulifika pale tukiwa na Tax driver ambaye...
Kwa Tanzania Rehab ya uhakika sijui iko wapi, najua Kenya ipo Rehabilitation Centre, Malindi inaitwa The Omari Project hawa jamaa ni wajuzi sana wa mambo haya, kwa Tanzania utapelekwa kwenye jela za Vichaa tu, hatuna Rehabitation ya uhakika kwa watumiaji wa madawa ya kulevya, si kushauri...
Wakati Baraza la Wawakilishi likiwa limeanza kikao chake leo asubuhi, waandishi wa habari,wametimuliwa ndani ya ukumbi wa Baraza la wawakilishi, si jambo la kawaida kutokea na tuseme hii ni mara ya kwanza halijawahi kutokea suala hili hapa ndani ya ukumbi wa BAraza la Wawakilishi.
Nadhani kama wanaona yapo mabadiliko ya msingi wanahitaji kuyafanya, Amani anao muda wa kufanya mabadiliko hayo kupitia BAraza la Wawakilishi la JAnuary 20 na April na pia muda wa kutekeleza maazimio ya Mkutano wa REDET kuhusu hali ya siasa Zanzibar, wakati wake wa kuondoka madarakani ukifika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.