Waziri alienda kufungua ubalozi wa tanzania nchini [emoji1134] Israel na siyo kuhudhuria kuhamishwa kwa ubalozi wa USA [emoji631] -kama nilimsikia waziri Mahiga akisema ivo (over and out
Najaribu kuwaza tu inawezekana anatengeneza dawa hapa nchini lakini anauza kwa bei kama umeagiza nje..kwa hali hii serikali haiwezi kukupa ushirikiano ,,,,najaribu kuwaza izo material zilizozuiwa bandarini (kama zipo) labda hawataki kulipa kodi (wanataka msamaha) ili hali dawa wanauza ghali...
Mkuu wa shule akijichimbia ofisini maneno,akisema hataki mwaliko/safari mnasema mkuu anaogopa kwenda kwenye shule Za jirani kwa sababu ya hajui lugha ya malkia. Mwalimu mkuu akisafiri mnasema anazurura tu bora amtume mwalimu wa taalum. Ebu tumuache...
Unanihakikishiaje kuwa siyo ya wizi??? Usalama wake ukoje?? Je uko tayari kuandikishiana/kufanya biashara mbele ya mwanasheria au polisi??? Njoo tufanye biashara baada ya majibu
Kazi kubwa ya hizi taasisi ni kuligundua jambo kabla halijatokea na kilizuia lisitokee au likitokea lisilete madhara kwa Jamii ..ie jambo likishatokea kazi inakuwa ya polisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.