sikia mkuu, alichokosea huyo mtoa hyo mada ni kitendo chake cha kusema 'form five mwaka huu vichwa maji' wakati kuna watu wamejipatia one zao kihalali kabisa, ameongea point ,ingawa amekurupuka kwenye kutoa hyo point yake.
Sijakuelewa mkuu ,kwahyo unachomaanisha hata ambao walifaulu tangu matokeo ya kwanza nao ni vilaza? Manake kwnye title umeandika form 'five mwaka huu ni vichwa maji' dizaini kama umekurupuka mkuu, next time fikiri kwanza kabla ya kuropoka ,ila siyo mbaya na ww umetekeleza haki yako ya kikatiba...
Mimi ni kijana muhitimu wa kidato cha nne, kiukweli tangu nipo shule, kubadili wasichana (playboy) ilikuwa tabia yangu, sikujali ki2, na kwa kuwa nilikuwa mzuri darasani wasichana hawakuacha kujipendekeza, na mimi sikufanya hiyana, niliwala kisawasawa, mwaka jana wakati tunasubiria majibu ya...
Shukrani kwa mawazo yako mkuu, kuna jamaa ndo walinambia hyo inshu kuwa ukibuma math, hautatakiwa kusoma masomo ya science A-Level, by da way pamoja sana mkuu!
Salaam wakuu, mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2012, matokeo yangu ya mwanzo nilipata div III ya 23 phy-C chem-C bios-B, Na nlikuwa nampango wa kwenda kuchukua Comb ya PCB ,A-level, tatizo math nlilamba F totaly na sijui kma itabadilika hata wakfanya standrzation, Na nasikia kama umepata...
Habari wanaJF ,Kwa wale wanaofaham, natumia simu ya nokia 2330c 2B, kwa internet tatizo ni kwamba, opera mini niliyokuwa natumia inasumbua sana hususan katika kuapload pictures facebook, na mitandao mengine ya kijamii, nahisi hii opera ni old version, tatizo limekuja baada ya kudownload opera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.