wazee nimerudi baada ya kimya kwa muda, unajua tena mahangaiko ya dunia hii.
kuhusu hoja ya hii kinachoangaliwa hapa si kingine bali watanzania tunataka kuona sheria na kanuni za manunuzi ya umma inafuatwa kikamilifu na kwa umakini mkubwa.
serikali ya chama tawala siku zozote inasimamia vyema ilani ya uchaguzi isipokuwa watu binafsi kwa ubinfsi wao wanafanya makosa wanakosa maadili wasiona vyema wanajumuisha chama na mtu binafs .
hata jambazi anaweza kuwa na kadi ya ccm lakini ccm si jambazi!!!! tuelewe hili.
Rais anafanya...
Kitendo cha kumfukuza kazi mkuu huyu wa wilaya ni kitendo cha uonevu. Mkuu huyu aliamua kuwatandika viboko kwa nia njema kabisa ya kuwatisha walimu ili wasirudie tena tabia ya kuchelewa na kutowapa huduma muhimu sana ya elimu bora watoto ambao wamekuwa wakiikosa kwa muda mrefu kutokana na tabia...
ilikuwa saa mbili asubuhi mwaka 1989 pale Tambaza boys, basi likatushusha muhimbili enzi hizo UDA, Tukawa kundi kubwa tunaelekea shule, kufika viwanja vya muhimbili walimu na wanafunzi wengine wako mstalini, mwalimu mmoja mnoko pamoja s.master wakatusimamisha wote wakitutenganisha na waliowahi...
Wakuu ksei ipo mahakamani,na mahakam ni moja ya miimili ya dola Tanzania, ni chombo huru katika utendaji wake na maamuzi.
Na mahakama inafuata na kutekeleza kanuni,sheria na taratibu za nchi yetu kwa dhana ya kutekeleza utawala bora na utawala wa sheria ambapo Tanzania iko juu katika...
if this is the case this is serious now!? hainiingii akili mawaziri ambao ni wabunge na wapo chini ya bunge wanapokuwa kwenye shughuli za bunge the watendaji wakuu wa bunge hawajui walipo?!
na kwanini kama walikuwa na ermengecy za kazi ambazo ni muhimu inawezekana wote ikawa siku moja, kuna...
marriage is how you take it. no training on it.
but to me i enjoying being married, more respect in the society and things like that, i can't opt to be single anymore though wife akinitibua some feelings of getting out are lingering in my mind
kwa hili mkuu hakuna haja ya pesa ya kigeni,uzembe wa mamlaka husika ,wanapeana tenda za kusafisha jiji kiujanjaujanja .kampuni haina uwezo wowote ule matokeo yake ndio hay sasa, kututia aibu,kuaribu mazingira kwa hewa isiyo salama, maradhi kibao ya mlipuko.
utakuta kampuni iliyopewa tenda...
kwahiyoo unahalalisha mauaji ya albino,ili kila mbunge apate macho ya albino.
Naomba ufute kauli yako hiyo na ilaaniwa sana, tuko katika kutokomeza mauaji ya ndgu zetu walemavu wa ngozi wewe unataka tuwapatie wabunge macho ya ndugu zetu hao ili waone vizuri?!!!!!
waombe radhi maalbino wote...
alisema pinda mwana wa mizengo mkaona anatetea uovu,mh.waziri mkuu alisema Dr,Slaa umewahi sana kuileta hii issue,ungesubiri mambo yaisha kwanza then tungehukumu vyema
sasa kama kweli imekufa sijui waliokurupuka itakuwaje? tusubiri tuone?
I always emphasize that speed in worung direction...
mwachine mzee watu apumzike. tujaribu kuendeleza utamaduni wetu wa kutokuwachonoa viongozi wakuu yaani state leaders wanapomaliza muda wao,hii ndio ya Tanzania iliyojijengea tangu zamani.
thx
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.