Ni ukweli kabisa hii story ni promo TENA PROMO LISILOENDA SHULE..Kwa mwenye akili na aelewe,Ila kwa wajinga mtatekwa kwa namba za simu ziloizowekwa hapo kimkakati.Nawahakikishieni hata mwandishi wa Story hii bado ni wakala wa shetani,Kuna kila sababu ya kusema...
Nimekukubali hoja na wazo lako ni muafaka kabisa .Vizazi hivi hawajui umuhimu wa Mwalimu JK Nyerere kabisa.Twende mbele twende nyuma Dodoma inapaswa kupewa hadhi ya Jiji tena kwa jina pendekezwa.Nawasilisha.......
Hayo yote kule kwetu Ng"uni Matikony yapo mengi sana kiasi kwamba wanasemaaga ni matunda ya watoto.Miaka hiyo ya azimio la kufa na kupona tulikuwa tunayauza sana mashuleni, watoto wanajidai nayo.Siku hizi yanaelekea kutoweka kutokana na mabadiliko ya uoto wa...
Lisemwalo lipo hakika Mchechu ameliingiza shirika tena na Taifa kwenye mtaro ambao halitakaa litoke daima.Madeni ni makubwa na mengi kupindukia na uwezekano wa nyumba hizo kukopwa na kurudisha deni/Madeni ya benki ni ndoto za kienda wazimu tena za mchana...
Nahoji uelewa wa Ndugai kuhusu swala la Diplomasia ya kimataifa.Hivi anadhani ni jambo la kuburuza tu kama anavyofanya Bunge la Tanzania. Mambo mengine awaache wenye uelewa wake wayaongelee na kutolea matamko.Yeye aishie zake huko huko Kibaigwa.
Imagine running a big business right now. Demand for your product is up. You need a new factory. Should you build now? Should you wait until next year? The year after?
That’s not really a hypothetical. Businesses all over the country face those questions. The only right answer is they shouldn’t...
It’s all starting to feel like very familiar territory now…
Nothing financially bad can ever happen again. The stock market feels nice and cozy. People continue to make money. What’s not to like when the price of assets can only go in one direction?
And that’s what has me a bit concerned. The...
Kiukweli nakusifu sana jamaa wewe ,Kwanza kwa kutokuwa na papara juu ya tabia ya mwenzio.Lakini pia kabla sijakushauri kitu chochote hebu jaribu kujitathimini mwenyewe pia labda kuna mahali humtoshelezi huyu kiumbe.Yamkini kwa maisha ya ughaibuni kutwa kucha...
Hatunywi sumu hatujinyongi..........CCM hata kwa dawa haipendeki tena ndani ya uongozi huu.Kwanza uongozi huu umekiuka imani , na madhumuni ya Chama chenyewe.Ubaguzi,Ukanda ,Ukabila.Upendeleo havitamwaacha hai mtawala yeyoyte katika nchi hii.Yamesemwa mengi lakini...
Hongera sana Lazaro;Nilikuwa na matumaini makubwa sana na wewe wakati ule ndani ya CCM yakapotea kabisa hapo katikati.Lakini tangu msiba wa wale watoto na jitihada zako ulizofanya , pia swala zima la Tindu Lissu nimegundua wewe ni mtu wa aina yako...
Wazo lako kaka Mwakijiji ni wazo la msingi sana na endelevu kabisa .Ujenzi wa Makao Makuu Dodoma unatakiwa kuzingatia ukuaji wa miaka kadhaa huko mbele si habari za kipindi cha awamu ya Tano tu ,bali miongo mingi ijayo.Swala la ujenzi wa Miundo Mbinu linapaswa...
Itikadi za dini kisiwe kigezo cha utamaduni wa mwaafrika.Acheni uongo na unafiki.Ni jambo la mazoea tu lakini hakuna mwiko wa mwanamke kubeba jeneza;.Isitoshe imani ya dini hiyo siyo imani ya dini inayokataza wanawake kushiriki maziko.Staarabikeni kwa kusoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.