springi zote za gari ndogo zinapatikana kwa bei rahisi, tanga mjini.
kwa yule ambaye ana hitaji contact 0786786520.
Pia tuanauza oil na grease kwa bei rahisi.
na spea nyinginezo pia zipo.
Salaam,
Tumebobea kwenye fani ya kupaka heena, design za aina zote, kwa bi harusi, na sherehe za kawaida.
Tuna patikana tanga mjini.
contact. 0786 958110
Habari wakuu.
Gari mbili zinauzwa tanga.
Toyota IST. year 2002. 90,000 km. in good condition.
bei. 13 mil.
Toyota Caldina. year 1996. 4.5 mil. In good condition.
price negotiable for serious buyers.
Honda bike Md 30 250cc 3.5 million.
all cars in tanga town.
contact 0787...
Habar za asubuhi.
Nauza furniture. ipo kwenye very good condition. pia na deep freezee moja na fridge ndogo all in good condition.
furniture on sale is kabati,dressing table,dinning table etc. all in a throw away price. ukinunua dinining table,fridge unachukua bure. wahi sasa.
bei...
3D asante kwa mchango,but hiyo clip ni a real thing na siyo animation unavyofikiria.hiyo ni the sports village ambayo wamejenga kwa ajili ya Asian games 2010 inaoyendelea kwa sasa hapo GZ.so this thing is a real video and not animation as u think.watch it carefully.
mama madame x,asante kwa kuchangia,yes,heena painting is basically an asian art,and is more common in asia,but now it has come to africa too,and many people like to heena paint their body parts to make them look more beautiful.kwa hiyo picha niliyo pata ni ya mikono ya ki asia.but now even...
kwa wale kinamama na wanaharusi ambao wanataka kujipamba,kuna mtaalamu hapo tanga anayeshughulika na kupaka hina kwa bibi harusi na pia kwa wale ambao wanataka kupaka kwa occasion mbalimbali kama kitchen party na etc.bei ni poa tu.kama upo interested tuwasiliane.Pia tuna nguo za kike za kuuza.
mkuu manyusi,ninia swali kwako na wengine wote,ambao mmechangia humu,kwa milioni 52 za kitanzania unaweza kujenga nyumba ya vyumba 3?na pia kuna flat inauzwa milioni 52,je ni deal nzuri kununua hiyo tayari iliyojengwa kwa mji wa Tanga?na hiyo nyumba ya mil 52 haina finishing ya tiles kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.