Relax...jipe muda na amini utasahau tu. Kupelekana mahakamani sizan kama no sulihisho zaidi zaidi unaweza ongeza machungu na ukapoteza tu muda wakom. Ts truly hurt but just believe its never meant for you. Am very sory for you!
Kwanini mapenzi yanauma...?!!I wish kupata jibu la swali hili. Kwanini ni kitu kinachoweza mnyima mtu usingizi na raha?!..why?!. Haya ni baadhi tu ya maswali najiuliza. By the way baadhi ya watu hapa wanaweza comment as if hawajawahi umia kwasababu ya mapenzi au hawezi umia...kumbe....siri...
Habari zenu wa ndugu, hasa wadau wa urembo hususani wa nywele. Wapendwa kuna dawa nimeisikia inaitwa LASER CURL (kama sijakosea), ambayo ni kwa ajili ya nywele natural ndefu kiasi na inafanya nywele zijisokote siku zote.(permanent curl) Nimekua interested kutokana na hayo maelezo ila bado sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.