Search results

  1. B

    Nimemsomesha, nimegharamika, leo kaniacha anaolewa na mtu mwingine

    Relax...jipe muda na amini utasahau tu. Kupelekana mahakamani sizan kama no sulihisho zaidi zaidi unaweza ongeza machungu na ukapoteza tu muda wakom. Ts truly hurt but just believe its never meant for you. Am very sory for you!
  2. B

    Mapenzi yanauma jamani...

    Kwanini mapenzi yanauma...?!!I wish kupata jibu la swali hili. Kwanini ni kitu kinachoweza mnyima mtu usingizi na raha?!..why?!. Haya ni baadhi tu ya maswali najiuliza. By the way baadhi ya watu hapa wanaweza comment as if hawajawahi umia kwasababu ya mapenzi au hawezi umia...kumbe....siri...
  3. B

    Mapenzi yanauma jamani...

    Mmmm ..for me kwa kweli hyo yakuzoea kwangu imeshindikana
  4. B

    Mapenzi yanauma jamani...

    Yaan...ina happen tu...nakaa nawaza sana kwanini mapenzi yaume hivo jaman?!..looo[emoji25]
  5. B

    Mapenzi yanauma jamani...

    What if kupenda kunakuja automatically...n you can't help
  6. B

    Mapenzi yanauma jamani...

    Siri ya mapenzi
  7. B

    Sijamtongoza kanipa penzi, hali hii tutapata wanawake wa kuoa kweli?

    Sa we getho ulimuuita aje kufanya nini?!!
  8. B

    Ukweli usiopingika dhidi ya dada zetu

    Wanauzia kina nani!??. Just curious!
  9. B

    Nachukia sana Binti/Mwanamke mzuri akiniita "Mpendwa"

    Ngoja nisubscribe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  10. B

    Upendo huu wa mawifi zangu umenifika happaaa!

    Kwahyo wifi kumbe huwa tunakukwaza!
  11. B

    Nifanyeje jamani kwa haya matokeo

    Kama unapenda coz za afya na uwezo upo better uombe vyuo vya afya uanzie hapo!
  12. B

    Dawa ya nywele (CURL)

    [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji124] [emoji124]
  13. B

    Dawa ya nywele (CURL)

    Habari zenu wa ndugu, hasa wadau wa urembo hususani wa nywele. Wapendwa kuna dawa nimeisikia inaitwa LASER CURL (kama sijakosea), ambayo ni kwa ajili ya nywele natural ndefu kiasi na inafanya nywele zijisokote siku zote.(permanent curl) Nimekua interested kutokana na hayo maelezo ila bado sina...
  14. B

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Instagram....mwenyewe nimeshtuka..ikabd nipruv kama in JF kweli
  15. B

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Pure Red....elfu 16 tu ...sehemu zingine 20 elfu...ila ts btn 15 -20 elfu..I like it saaana ila huku nilipo now siipati[emoji25]
  16. B

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Mmmm...ni sh ngap ...maana sio kusifiwa huko
  17. B

    Kwa wadada tu

    Mbona kina maelezo?!
  18. B

    Nilisimamia show ya mafuta na lunch lakini bado niliachwa kituo cha basi

    Me yamanikuta ya ucku ..alafu no usafiri..unaambiwa panda bodaboda...daaah..mahaba Niue!
  19. B

    Fomu za kujiunga(Joining instruction) kwa shule mbalimbali za sekondari nchini

    Mimi nina shida na ya Nganza. Msaada tafadhali
  20. B

    Wanaume: Huwa mnasahau nini kwa ma-ex zenu?

    Ila pia wapo wanaopendana sana lakini hawaoani!
Back
Top Bottom