Mimi ni mkrito na ninanunua bidhaa za azam sana na nitaendelea kununua. Kama imeandikwa kiarabu haijamaanisha ni udini, hata bidhaa za kichina zina maandishi ya kichina na tunanunua. Kiarabu ni lugha kama ilivyo kiswahili na zinginezo. Miaka yote tumekua tukitumia bidhaa toka mataifa yote bila...
Sasa unashangaa nini? we inaonekana mgeni mjini. unapowaona hao masista duu wanang'aa unashoboka ukidhani wa maana? hiyo ni kawaida sana wala si ajabu kwa mzoefu wa town. ndo ujue sasa uache kushoboka.
Story haina ukweli, we uteke kumuua mtu uanze kuonyesha sumu? unajipenda? nnachokiona ni watu wanaojaribu kuichafua chadema kwa kila jinsi. na kwa hakika watawapata wa kuwadanganya. wasiojua kusoma kati ya mstari.
I dated my best friend, tukaachana, urafiki nao ukaisha. ni nzuri kama mahusiano hayatovunjika, but kama urafiki wenu ni wa thamani kubwa, best stay that way.
Watu wa aina yako huwa siwapendi, Kwanini usimuambie mtu ukweli? kama distance inakushinda unasema, au humpendi tena,unasema. Si kumfanyia action wakati mwenzako anakupenda. Action ni nzuri kwa mambo mengine but si hayo. its best kufunguka,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.