Raslimali bila ujuzi na elimu ni kazi bure.
Venezuela wana mafuta mengi sana lakini leo theluthi ya raia wake wamekimbia nchi yao kutokana na umaskini uliokithiri.
Raslimali za Tanzania zinatusaidia nini wakati bajeti ni trillion 33 makusanyo ya TRA ni wastani wa trillion 17.5?
Kusema mtu ataishi miaka mingi hivyo atalipwa muda mrefu zaidi ni ujuha uliopitiliza.Kanuni zinasema ni kwa miaka kumi na mbili tuu,je akiishi zaidi ya hapo?
Bakwata ilianzishwa na serikali na kwa sasa ni kama jumuia ya CCM sawa na UWT au UVCCM.
Sio kwamba Waislamu wanaipenda la hash's bali nguvu kubwa ya dola inayotumika kulinda.
Masheikh wote waliojaribu kuipinga walipata matatizo makubwa ikiwemo shs Takadir kufukuzwa Dar es salaam kuwa sio raia na...
Teknolojia ya mambo ya kijeshi inabadilika kila kuacha hivyo wanajeshi wetu wanatakiwa wawe mafunzoni na mazoezini kila uchao. Sio kubeba na kubangua korosho huku ikiuwa sekta binafsi
Hata yanayotufika huko Beni DRC,tungeweza kuepukwa nao kama mbinu na teknolojia mpya ingekua ndio kazi kubwa ya...
Nasikiliza Magic FM kipindi cha Sundowner jioni hii mara wanarusha tamshi la TCRA
Kuanzia sasa wauzaji na watengenezaji (repairs) wote iwe wa radio,tv,simu,computer nk wa vifaa vya mawasiliano lazima pamoja na leseni ya biashara lazima wawe pia na leseni toka kwao.
Haijalishi ni Machinga,au...
Paschal
Kuambiwa mtoto aliyepata mimba shule ni asi adhibiwe milele ni kudhalilishwa?
Afanalek watu waliowalawiti watoto wa kiume wamesamehewa na kufanyia dhifa Ikulu ni sawa lakini mtoto aliyetelezeshwa sio sawa kumsamehe
Cattle hearder mentality
Kwenye nchi ambayo bajeti ni trillion 33 ambayo...
colin_morgan
Mkuu dada yangu anatumia mwaka wa 22 sasa anasema baada ya muda hizo side effects zinapotea.
Nimesoma kwenye jarida la kitabibu la Lancet kuwa kuna new generation ya ARV's wanaitia sokoni karibuni ya kidonge kimoja kwa siku na side effects kidogo sana.
Kongole👏 Ndio comment ya kwanza inayojadili mada.
Wajerumani walichukua mafuvu mengi toka Tanganyika,Namibia na Cameron kufanyia utafiti wa kisayansi kuthibitisha watu weusi ni wa daraja la chini.Tafiti hizo ziltaka kuonyesha ubongo wa weusi ni mdogo usio na uwezo kama wa kwao.
Tafiti hizo...
Jiwe ni so ignorant and unsophisticated katika masuala na mahusiano ya kimataifa.
Ujima wake unaonekana pale anapoomba
1) S Africa imuombee mikopo ya kujenga reli
2)Kumuomba Mfalme wa Morocco atujeengee uwanja wa michezo
3)Kumuomba Kagame wataalamu wa IT
Kumuomba W/Mkuu wa Ethiopia utaalamu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.