Wakatoliki wamekopa na watalipa kwa riba kama wateja wengine wanaokopa bank. Suala ni kuwaelewesha watu juu ISLAMIC BANKING jinsi inavyofanya kazi. Msichukulie kila jambo ni udini acheni upuuzi huu..
Jamani naomba kujua estimate ya vifaa vya ujenzi(Matofali,Mabati, Mbao) wa nyumba ya vyumba 3 vya kulala,sebule,dining,jiko, store, na study room..ukubwa wake ni mapana 16.5M na urefu 13.5M. Ningependa kujua.
Haya ni baadhi tu ya maneno ya kiswahili ambayo ukiwa tanga utayasikia tofauti kidogo
1. Nakuja - Naja
2. Unaenda- waenda
3. unanichokoza- Wanchokoza
4. unataka - Wataka
5. Mama mdogo - Odo
6. Mama mkubwa - Mkuu
Hayo ni baadhi tu, bado hiyo lafudhi yao yani utapenda kuwasikiliza.. Lkn je ni...
Itarahisisha na kupunguza gharamaza kusaisha mitihani, ila wasiwasi wangu ni je tumefikia stardard hii ya kutumia system? sababu bado kuna idadi kubwa tu wanafunzi ambao hawajui kusoma na kuandika.. Nadhani tutafute njia mbadala ya kututoa hapa tulipo..
Kiukweli jamaa alijibu hoja moja tu ya kima cha chini cha mshahara wa wafanyakazi wa uma.. hakuzungumzia kuhusu hoja nyingine zilizotolewa na viongozi wa tucta.. kama
1. Kuhusu punguzo la kodi katika mishahara ya watumishi wa umma
kwa ukweli mtumishi wa umma analipa kodi kubwa kuliko hata...
Wadau habari,
Kwa mpira walioonyesha jana Nigeria inaonesha kabisa kwa sasa hawana kitu kipya. Hawajui kabisa jinsi ya kukaba na kutafuta mipira wanapopoteza. Hawana umakini uwanjani.
Ndo mana MISRI waliwashika kwelikweli
Bwana ametoa na bwana Ametwaa.
Mungu amlaze pema peponi. amen.
Kawawa atakumbukwa Daima kwa mchango wake katika ujenzi wa taifa hili. ana historia yake hapa Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.