Hutaoa vip wakati wewe kutwa kucha unakula vya wenzako? Mungu nae anajua kulipa. Ukioa wewe ndo utajua uchungu wa kula vya wenzako. Kama nakuona utakavyokuwa unalia
Nampa pole huyo dada jamani. la msingi kama kweli hataki mambo ya mahakamani amwachie mungu na kumtulia yote hayo mungu hamtupi mja wake. Aamini anaweza hata bila huyo mwanaume. Asahau na kuendelea na maisha tena kwa kasi ya ajabu hadi jamaa ang'ae sharubu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.