Habari za muda wana jukwaa la siasa!
Jana wote tulisikia na kuona tamko la Chama cha Wananchi CUF kuhusu kujitoa rasmi kwenye uchaguzi utakaofanyika Machi 20, 2016.
Pia jana ndugu January Makamba akiwa bungeni Dodoma, alitilia msisitizo wa kufanyika kwa uchaguzi huo kama ilivyotangazwa na ZEC...
Tundu Lissu yupi huyo maana tokea alhamisi Tundu Lissu wa CHADEMA yupo jimboni kwake Singida mashariki na ijumaa ilikuwa anapigiwa kura za uteuzi na jana alikuwa kwny mikutano ya kujitambulisha.
Mimi mwenyewe nilikuwa nashangaa hawa vijana wanatoa wapi ujasiri huo wakati Mzee anaweza kuwa Rais wa awamu ya tano??!!
Ila tokea jana ndo nimeamini.... zile hazikuwa kauli za Nape na Makonda..... kuna mtu alikuwa anazitoa ila Nape na Makonda walikuwa spika zake tu!!
Haya ndiyo majina matano yatakayoteuliwa na CC ya CCM kwenda NEC:-
1) Edward Ngoyai Lowassa
2) Dr. Asha Rose Migiro
3) Judge Augustino Ramadhan
4) Prof. Mark Mwandyosya
5) Mizengo Peter Pinda.
Heshima iwe kwenu wadau.
Baada ya kumsikiliza mtangaza nia namba 3 kutoka CCM ndugu Mwigulu Nchemba nimeingiwa na wasiwasi kidogo.
Kwa wale waliofuatilia na kumsikiliza mh. naibu waziri mtagundua kuwa Mwigulu alikuwa anaongea kama vile yeye si sehemu ya serikali.
Lakini cha ajabu zaidi...
Kwa wale wanaoenda Arusha kushuhudia tukio kubwa na la kihistoria la mheshimiwa kutangaza nia.
Jaman mimi nimekosa usafiri na nipo mitaa ya Singida njia panda.... kwa ambao hawajapita Singida tuwasiliane inbox (ni pm) ili mnipe msaada wa lift.
Ili tuungane pamoja hiyo kesho katika...
Kwa wanaoenda Arusha nipitieni hapa Singida njia panda twende wote nikamsupport Rais wetu wa awamu ya 5.
Ambaye hajapita Singida aje inbox jaman tuwasiliane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.