[Nzowa Godat][Haa!? hivi ngono ni uchafu?!! basi watu wazima zaidi ya miaka 18 ni wachafu maana wanaruhusiwa kuoa na kufanya ngono deile]
Bandugu NG mavi yakiwa chooni sio uchafu, hizo link hazipo mahala pake ndo mana nadhani jamaa kaiita 'uchafu' !!
Mkuu
Andika vitu vya ukweli basi,wacha ushabiki wa kijiweni !Au tuamini maneno ya jamaa kuwa shida kubwa kwenu ni elimu...?
Mi mkatoliki na ninayo Biblia.
Acha mambo ya kijiwe humu ndani !
Mkuu huenda akawa sio Mkatoliki usilaumu mana Dr Slaa na Karugendo wote ni ma Padre na jamii inajua hivyo,sina uhakika kama wameacha kuandika ktk gazeti makala anazoandika karugendo kuwa ni 'Padre'.
Dah...Mkuu,nakukubali muno upeo upo juu sana. Jamaa kweli hayupo kujifunza,inasikitisha.Na sidhani kama hata unalazimika kuendelea kumjibu hoja zake(japo umeahidi).Kama hutajali embu ni add ktk messenger(moshi_paka@yahoo.com). Nadhani ni vema tukawasiliana zaidi ya hapa ikikupendeza lakini.
Mkuu embu tupe hiyo sensa ilifanyika lini,ya nini tuandikie mate??tupe idadi waislam tupo milioni ngapi na wakristu tupo milioni ngapi?
Huenda wakati wa sensa nilikuwa sipo TZ !
Ndugu Ndahani,huyo ndugu kumjuza itakuwa ngumu sana,sikutegemea kama hajui kuwa Vatican ina status ya nchi kama zilivyo nchi nyingine!!
Dokta vipi bwana unatuangusha na status yako ya U-'dokta'.Bora kwanza ungecheza na google,mana majibu yote ungepata kuhusu Vatican,lol...
Jamani tusiwe wavivu...
sijaelewa kitu hapa.....hivi mtuma post anamaanisha anayezungumzwa ni male??Mana naona wachangiaji wanachangia upande mmoja tu!
Samahani huenda sijaelewa.Au Mwanajamii 1 ni female?
Embu ngoja kwanza nisome tena hiyo post ya kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.