Sikubalianani na uamuzi wa kujenga Bandari Bagamoyo, lakini linapokuja suala la kushindana na wabaya zetu-Wakenya-naona ni vema ikajengwa tu. Potelea mbali, hata tukiwa nazo katika kila kijiji cha mwambao.
Jeshi la Wananchi wa Tanzania limezindua Operesheni Tokomeza inayolenga kuwamaliza majangili katika mapori ya akiba, mapori tengefu na hifadhi za taifa. Katika Operesheni hiyo, tayari Mwenyekiti wa CCM Kata ya Makuyuni, Monduli mkoani Arusha, Bakari Salim (Mpemba) amekamatwa akiwa na kilo 40 za...
Ndugu zangu, trafiki kutoka Kituo cha Kwa Yusuf, na wakati mwingine Kibaha, kila siku yanapotoka maji hapa Kibamba Hospitali. Maji hutoka Jumapili na JUmatano. Hivi leo ni Jumatano,kuanzia sasa hivi wapo hapa wamejaa tele. Kila gari la maji wanachukua Sh 2,000. Kwa siku mapato yao yanazidi Sh...
Gazeti la Jamhuri leo limekuja na orodha ya majina ya matajiri matapeli wa madini Tanzania. Wamo kina Rashid Ntimizi (mtoto wa waziri wa zamami), familia ya Aurora, Roger David Mawelle, Tambwe Moses, Papa Msofe, John ChizumoNaftari Njoree (Mmasai), David Kazibwe na wengine wengi. Wanatapeli...
CHANZO: Gazeti Jamhuri
Mwalimu Nyerere alijua ujio
wa Obama tangu mwaka 1967
Mwaka huu pekee, Tanzania imepokea marais wa mataifa mawili makubwa yanayoongoza kwa uchumi imara duniani. Rais Xi Jinping wa China alikuwa wa kwanza, na baadaye amefuatiwa na Rais Barack Obama wa Marekani...
Ufisadi ujio wa marais
*Hazina yatumia Shilingi bilioni 8
*Wajanja watafuna mamilioni
*Vifaa vya Obama vyaokoa jahazi
*Vinyago vyagharimu Sh milioni 30
*Sare, mikoba, vyagharimu mil. 400/-
*Karamu, chupa za kahawa, miavuli mil. 390/-
*Burudani ya muziki yatafuna milioni 195
Na Waandishi Wetu...
Kuna habari kwamba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia kesi Iddi Simba. Ni ile inayohusu ufisadi wa uuzaji UDA akiwa Mwenyekiti wa Bodi. Aliwekewa Shilingi zaidi ya milioni 300 katika akaunti yake. Nasikia imefutwa kwa mkono wa Ofisi Kubwa kuliko zote katika nchi hii kwa sababu mtoto wa...
Wewe kwa tatizo hilo una sifa zote za kuwa mwanachama wa CUF! Kaungane na waliberali wenzako! Huna sifa za ulijali. Yaani nikutane na kitu moto halafu mashine igome! Wewe mliberali
Wadau, hii habari ilishawekwa mtandaoni na katika magazeti. Naileta kwenu baada ya kupata taarifa kwamba leo kampuni 4 zimefungua kesi kutaka kutengua uamuzi wa Serikali wa kugawa vitalu. Kesi imefunguliwa Mahakama Kuu, Dar es Salaam. Imeahirishwa hadi kesho Jumanne.
Kagasheki atiwa...
Hivi inawezekana vipi nguzo kutoka China iwe bei chini kuliko inayotoka Iringa? Ina maana nguzo za hapa nchini zinakuzwa kwa kemikali (si maji na mbolea) ghali kuliko wenzetu kama Afrika Kusini?
Hivi wewe lini utaacha kumwandama manyerere? Kila mara ujinga wako unapotaka kuuonyesha lazima umtaje manyerere. ngoja aje akujibu maana huwa yumo humu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.