Pana vitu ambavyo watanzania wanahitaji kuona live na kuoneshwa recorded. Endapo bunge litarekodiwa na ili wananchi waoneshwe matukio yote yaliyojiri, najiuliza kuwa muda utakaotumika kurushwa hiyo recorded utakuwa tofauti na ule wa live? Au hizo recorded lengo lake ni kutuonyesha episode kama...
Tanzania tuna TV stesheni ngapi? Na je zote hizo hakuna iliyo tayar kurusha matangazo ya bunge live bila gharama ya serikali? Bunge lililopita tulishuhudia baadhi ya stesheni zikirusha live, je nazo zilikuwa zinalipwa na serikali kurusha matangazo live?
Kama wanalazimisha warekodi na kurusha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.