Search results

  1. U

    Vipi Unatongoza

    Wana JF ebu tuwe wakweli siku hizi hakuna mtaalam wa kutongoza,wanawake sikuhizi hawaitaji watalaam wa kupanga maneno bali wataalam wa kupanga minoti na starehe za kila mara. kila mschana anakiwango chake cha fedha na starehe anazostaili.Kama kuna demu anakusumbua mdanganye na kwenda-out utaona...
  2. U

    Kuweni Makini mnapokuwa....

    kwa hiyo unamaanisha aliyekuwa akimwombea mgonjwa ndie aliyefanya mauji? Baada ya wanandugu kusoma karatasi walifanya nini?
  3. U

    Uwanja Mpya Taifa na Jina Jipya

    Kwakweli mimi nitashangaa sana kama Uwanja mpya haitaitwa, Benjamin Mkapa Nation Stedium. Kwani pamoja na ukweli kwamba kuna maovu yaliyofanywa na huyu bwana mkubwa, hili la kujenga uwanja ni jambo jema.
Back
Top Bottom