Kisa wanasemwa wanaume ndo watu midomo imewacmama utazani birika nyoooo muwatese wanawake afu mfumviwe macho kisa wanaume kwendeni zenu.joyce mama kama upo humu endelea mama endelea kufukua uovu wao na uwaanike live nani kipata ishu ya ukandamizaji ntakushtua shosti.love u much swty
Mayb kimerefuka duuuu.yani ndo mana unaambiwa hata watu wagombane vpii katka maswala ya mapenz mtu akikuomba ushauri we kua neutral ukianza mpondea mpz wake utaja umbuka mana afta two days ucshangae kuwaona na mapenz teleee
Mhhhh am sorry to differ with u duuuu mtoto wa miez mitano yan hata recommended age yake yakuanza solids haijafka umwekeevvkorokoeo vyote hvo duuu.kwa ushauri wangu msagie donna usichanganye na kitu CHOCHOTEEE then koz tumbo lake bado ni geni kwa chakula uchuje bfore kuupika.ukiiva mwekee na...
How intelligent.. aisee i love ur reasoning.mhhh utamadun wa kuvishana pete c wakiafrica tumeuchukua from the west sa cha kushangaza ka tumekubali kuuchukua y hatutaki chukua full package eeeee??yani men wakibongo bana....a lady should be treated like a princess/QUEEN no wonder hata kufungulia...
Afu anajidai eti alimpenda nyooo unajua maana yakumpenda mtu wewe dogo eeee.afu nahisi huyu ni dogo wa secondary amekula ada sasa shule zimefunguliwa ajarudi kilichobaki uzinzi koz a matured man cant be as silly and stupid as you.shame on you.rudi kwa mshua kamweleze umekula ada akupe urudi...
Cjui wafanyiwage nini hawa watu khaaa eti cmwamini koz kanipa papuch haraka angechukua mwaka ungesema ooo kuna washkaji wanansaidia hvi nyie viumbe mnawendawazimu eeee
Natumai unaongea hvi basi ushawai jifungua kwa operation ukaona amna maumivu mpaka wasema hivii eee.....wakijua kidonda cha operation kinavyouma eee au waropoka tuuu wateseka nacho hadi kije kipone nyota zote umeziona wakati alie jifungua kwa kawaida afta mtoto kutoka kama hajachanika ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.