Search results

  1. O

    JK amteua Saada Mkuya Salum kuwa mbunge

    hivi hatuweza kuzungumza bila kuwa na hoja badala za hisia za udini ambazo hazitusaidii..tuna matatizo ya kuzungumzia zaidi ya imani za watu
  2. O

    Kamati ya Katiba: Prof. Baregu kuapa bila Biblia wa Quaran nini tafsiri yake?

    Suala la mtu kuapia Biblia/Qur'an wakati haendi kutenda kazi ya kanisa ni kuzibana mdomo. Lakini pili hivi ni vitu ambavyo vilitumika na wazungu ili mtu asikikiuke maagizo alopewa hata kama kuuwa eti Mungu atamlaani au atakuwa ametenda dhambi. Kama mtu anaweza kupata kitabu cha NOT YET...
  3. O

    Jaji amlazimisha Tundu Lissu kuingia kizimbani

    Kesi za Uchaguzi: Hizi kesi lengo kubwa ni watu kupatiwa haki na kuondoa wasiwasi juu ya ushindi wa mbunge, diwani hata rais kama sheria zitaruhusu, hasa kwa kuangalia taratibu za uchaguzi kama zilizingatiwa ama la, maadili ya uongozi na yafananayo. Cha kushangaza katika kesi hizi ni kuwa...
  4. O

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    Kuvuliwa kwa Lema kuna maana hizi; Kwanza, CCM wanataka kupima kama mbinu za kifedha, uwizi wa kura, vitisho vya magari ya FFU na Polisi zaweza kufanaya for 5 years more. Pili, CHADEMA wanapewa nafasi ya kupima nguvu ya CCM na uwezekano wa kushinda 2015 majimbo zaidi Tatu, Umaarufu wa...
  5. O

    Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

    hivi ni kweli kuwa tukimkatalia mtu jambo tusilolipenda basi naye atakutukana. Matusi ni ukweli unaotumika katika maeneo ama sehemu ambapo hatutaki ukweli huo ujulikane. Kwa sababu hatutaki watu wa nje wajue kuwa viongozi wetu hawajui uchumi na hata ya kawaida hawafahamu, tena kuwajibika ndiyo...
  6. O

    Baadhi ya Wazanzibari wapinga Tanzania kudai eneo zaidi la mpaka wa bahari kuu

    Si shangai lakini kuna haja ya kuangalia uhusiano huu kama ni wa kweli na uhakika la sivyo walalamishi wataangamiza amani yetu
  7. O

    Kwa nini wabunge wa CCM na CUF wanamchukia sana Tundu Lissu?

    kwa hayo waonyesha wewe ndiyo ulikuwa ukijibu mwalimu darasani ETC End of Thinking Capacity...mavi kweli wewe katika uyajuayo mavi ndiyo kitu cha kutafutia umaarufu....aksante sana kwa kwenda hatua mbele kifikra :spy::A S embarassed:
  8. O

    Vifo vya ghafla vyaendelea kutokea UDOM!

    nafkiri kuna jambo la kutafakari; mazingira wanayokaa hao, afya yao kabla kifo kuwakuta, taratibu za kutibiwa kwenye kituo cha afya cha chuo, uwingi wa watu na magonjwa ya kuambukiza nk.
  9. O

    JK Rais Bora kuliko wote Tanzania

    kwani kwako ni multiplication siyo value. ama kweli vipimo vyetu vyachekesha :juggle:
  10. O

    Toka bungeni leo: Muswada umepitishwa... Nini hatma yake?

    Si ajabu muswada kupitishwa kwanza. Pili, kwa kuwa katika maamuzi wanayosema ni ya kidemokrasia ni uwingi wa kura kuliko uzito wa hoja walikuwa na haki zote. MATOKEO YAKE NINI? Kwanza kwa hali ilivyo wananchi wengi hawajafurahia namna ambavyo mjadala wa muswada ulivyokwenda kuanzia kwa...
  11. O

    Agosti 31 ya JK: Baraza la EID huko Dodoma kutumika kurusha makombora, usikose!

    Tayari keshaanza lakini kama kawaida Ngeleja, Luhanjo, Jairo na Tanzania Night Energy Supplying Company(TANESCO) wamechukua power. Lakini sijashangaa kitu kimoja tu kuwa sawa na wale wanaosema wanahubiri dini pale Ubungo Mataa, Mwenge na Bakhressa kasema kuna watu ambao hawawezi kuhubiri dini...
  12. O

    Magazeti ya Kenya na dhihaka kwa Rais wetu

    tuangalie thread hizi na umakini wa kusoma taarifa za magazeti..kama aliona katuni kama wazungu..hivyo hata taarifa ya the east african sina uhakika kama ameielewa..sababu ya article hiyo na related issues.
  13. O

    Mchungaji Rwakatare amtaja Shetani kujitetea

    Huyu ameamua kusingizia shetani..kwani mtu akishakuwa mzembe kisingizio inakuwa hasa shetani..lakini mwingine akikosea anasema uvivu/uzembe nk.
  14. O

    Hali ni mbaya Tarime: Polisi watembeza Mabomu usiku huu; Kina Lissu wakamatwa

    MASWALI KULIKO MAJIBU 1 askari wameacha wajibu ni kuwa WAHUDUMU WA MOCHWARI NA WATOA HUDUMA ZA MAZISHI KAMA WALE WA MUHIMBILI? 2. Tanzania imekuwa Police State...let Tanzania ask those thought to be immune to people's power like Husni Mubarak, Zinedine(Tunisia) n let them watch trends of 21st...
  15. O

    Elections 2010 Viongozi wa BAVICHA kujulikana Aprili

    Tafadhali kama unaona una haki ya kuendelea kuwapo na kuchangia njoo na hoja za msingi. Usilete ubinafsi na upotoshaji
  16. O

    Lusekelo anakata tawi alilokalia?

    Sina uhakika kama hayo aliyaandika lusekelo anamaanisha. Koz the same paper imekuwa ikipotosha hoja na kudakia mambo yasiyo na tija kwa taifa linalohitaji maendeleo siyo propaganda kama wanavyofanya siku zote. kama yanatoka moyoni heko
  17. O

    Ooh Poor NSSF!! - What is this?

    Tanzanania ninchi ya maajabu. Kujenga mji a kisasa. Kufua umeme wa megawatt 300 ndani ya miezi mitatu hata hatua za manunuzi na ushauri/consultancy kuanza zabuni kutangazwa bado. Technocrats wanaotaka kuwa wanasiasa siwapi heko. HAYA MANENO
  18. O

    Hotuba ya rais Kikwete mwisho wa mwezi Machi

    tafadhali kama kuna watu wameweza kuipata katika maandishi aipost tafadhali
  19. O

    Prof. Safari ajiunga CHADEMA; akabidhiwa kadi rasmi leo

    Haporopaganda zitakuwa zimegonga mwamba hivyo wanaficha aibu. Pili, km ni asubuhi wanajua wengi huwa hawaangalii asubuhi kwa sababu ya maandalizi ya kwenda kazini,ibadani ama watu wana hangover ya ijumaa.
  20. O

    Vyama vya Siasa na Matawi ya Ughaibuni

    Unless you stop personalizing the unconsciousness and generalizing that comes from myths and glorification without sacredness an purity, you will get to understand the CCMs and their their used praises. "FUTURE BELONGS TO THOSE WHO BELIEVE IN THEIR DREAMS"Eleanor Roosevelt.
Back
Top Bottom