Serikali imeban watoto waliomaliza kidato cha nne kusomea uwalim wa primary??? so wale waliomaliza kidato cha nne na kuchaguliwa kwenda kusoma diploma in primary education mwaka huu ilikuaje???
Inaonyesha hata hujui nini maana ya TAMISEMI!! ...tamisemi ni tawala za mikoa na serikali za mitaa!!
Hivyo,waajiriwa wote wa ofisi za halmashauri za wilaya tanzania(LGAs) pamoja na waajiriwa wa ofisi za wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya wapo chini ya TAMISEMI
Ajira za tamisemi (isipokua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.