BAADA YA KUSOMA HII HABARI CHINI NIKAJILIZA NI UCHAGUZI UMEKARIBIA AMA
MIGODI YA DHAHABU YA GEITA, BULYANHULU, BUZWAGI NA NORTH MARA KUANZA KULIPA USHURU WA HUDUMA KWA KIWANGO CHA 0.3% YA MAPATO GHAFI KWA HALMASHAURI ZA WILAYA NA MIJI
Mhm Jamii Forum kuna mambo, Aya ni majanga zaidi ya gongo la mboto.. Ila muanga anaweza kuwa lara1 .. theboss anaweza kuwa muamuzi DEMBA ukawa shahidi lara1
Too good to be noticed....EVERYONE LOVE ATTENTION IN THIS WORLD NO MATTER WHO YOUR ARE OR WHICH POSITION ARE YOU..... I LOVE THE GIRLS WHO BROUGHT ATTENTION KWA WATU... ILA INATEGEMEA UNAZUNGUMZIA UPOLE WA NAMNA GANI KUNA WENGINE WAKO SMART NA WAKIMYA ILA WAKIONGEA KILA MTU ANAPAY ATTENTION...
Kuna jambo la kipuuzi ambalo kama mwananchi mzalendo inabidi kulifikiri nikawaza ivi jaydee akipata nafasi ya kwenda kuwakilisha Nchi Clouds hamtatangaza? Acheni wivu wa kurudisha maendeleo nyuma kwa kuruka jina la jaydee katika list.
MENS ARE NOT CHEAP........Kuna njia njingi za kukutana na watu barabarani, disco, kwenye event... Tatizo kila mtu ana AIM yake anapocreate account fb ..... Kwa mwanamke kupata wanawake wengi that does not bring the men to be cheap ata.....
Ilikuwa ni katika kuchati chati FACEBOOK ndo nilipo weza kuwa connected na mdada mmoja jina Kapuni anayeishi kimanga,
Katika mawasiliano tukapeana namba mdada akaitaji tuonane, siku zikaenda nikaonana na mdada maeneo ya kimanga, stori yake Mwanzo ilikuwa ivi "Yupo anaishi na mama yake na...
Raisi wa Kwanza aliposema kuwa nchi kama nchi bado kuruusu wageni kuwekeza alikuwa na maana yake matokeo yake ni kama yanavyooneka leo kuwapa watu ambao kampeni zao mwanzo mwisho kusema vyama vyingine baada ya kueleza nini watafanya. elimu ina umuimu sana ata kama mtu amezaliwa kiongozi.......
NGUZO TANO ZA UJAMAA - KWA MUJIBU WA Mwalimu Julius K. Nyerere
CLICK LINK IYO CHINI KUZISOMA
Hermes Power Inc: Tanzania: Kuelekea Ujamaa Mamboleo - Toward Neo-Socialism
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.