Ambae haamini namshauri aombe hiyo kazi ataipata akidumu miezi mitatu huyo atakuwa kajitahidi sana ili kuamini fuatilieni nyuzi zake za matangazo ya ajira yaani katika kipindi cha mwaka 2016/2017 ashaajili zaidi ya wafanyakazi 30 na kufukuza mpaka inafika wakati ofisi jirani hudhani ni chuo cha...
Kiukweli hata Mimi huyu mtu namfaham anaitwa Kwanama ofisi yake ipo pale Kinondoni B wanajihusisha na Mafunzo lakini kazi zao wanazifanya kwa utapeli mapungufu take ni kama yafuatayo
Kwanza kabisa huwa halipi mishahara anakuajiri alafu hakulipi mshahara kabisa deni likiwa kubwa anakufukuza Nazi...
Dalili ishaonekana kitambo moja ni namna anavyobana upinzani, mgogoro ndani ya CUF, na kukamata baadhi ya viongozi wa upinzani ni dalili kuwa jpm ataongeza mda tuko hapa narudia tena lazma atabadili katiba ili akae madarakani na haya maandamano wanaratibu wao
MICROF COMPANY LIMITED
BACKGROUND
Microf is a company limited by guarantee incorporated in Tanzania on 27th January, 2016. Microf Company Limited provides three major services to the Tanzania Microfinance Sector notably; Microfinance Trainings, Consultancy and Research. In implementing its...
MICROF COMPANY LIMITED
BACKGROUND
Microf is a company limited by guarantee incorporated in Tanzania on 27th January, 2016. Microf Company Limited provides three major services to the Tanzania Microfinance Sector notably; Microfinance Trainings, Consultancy and Research. In implementing its...
MICROF COMPANY LIMITED
Kampuni ya Microf inajishughulisha na utoaji huduma za mafunzo katika soko la Microfinance na pia Kampuni ya Microf inamiliki gazeti la Ujasiriamali liitwalo TAJIRIKA. Hivyo, tuna nafasi za kazi zifuatazo:
TRAINING COORDINATOR (NAFASI 1)
Sifa: Awe anajua vizuri soko la...
Na hawa anaotaka kuwaajiri ni team kama ya 7 ndani ya mwaka mmoja fatilia post zake za kazi hapa jf ni nyingi mno huwaga anaajiri mwezi anafukuza hapa niko naandaa utaratibu nimpeleke mahakamani na ana kesi kibao
Huyu huwaga ni tapeli kwanza halipagi mishahara na ofisi zake zipo kinondoni B ni mzurumaji balaa kisha anawafukuza ndani ya miezi mitatu na nikampuni ya kuswahili inamadeni na haina uwezo wa kulipa hata mishahara ambaye hajipendi aende akafanye kazikisha aletemrejesho akidumu miezi sita mi...
Habari ndugu zangu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 nimeajiliwa hapa kwa mda wa mwaka mmoja na nilibahatika kuoa miezi minne iliyopita kiukweli kipato changu ni kidogo sana changamoto inayonikuta ktk ndoa ni kuwa baba mkwe anamlazimisha mke wangu asaidie kwao kwa kuomba sukari nguo za...
Leo naenda zangu kazini asubuhi nakuta wauzaji wa magazeti wanagawa gazeti la jambo leo bure kweli BOSS MANJI kaamua kujisafisha msemo brand kuitafuta kazi ili kuichafua ni mda mfupi sana asanten nawasilisha.
Hawa hawa tulipokuwa tunalalamika juu ya hilo ongezeko walitetea leo hii wamesikia kilio chetu unaongea pumba na wakati swala la umeme ni swala la taifa kwa ujumla kuwa mzalendo mjinga sana wewe
ndio tatizo la watanzania mtu akiongea hoja ya msingi mnatanguliza maslahi ya vyama mbele bila shaka wewe ni mtoto wa mama unakula bure unalala bure haujui uchungu wa maisha ndio maana unaongea pumba mjinga sana wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.